Tatizo la kula/kutafuna kucha

Ni sawa lakini tuangalie madhara kuliko faida kwenye hili...hivi kweli tujenge immune kwa kuharibu kucha zetu? Hili ni tatizo kubwa kuliko hilo na kuwa na kinga ya magonjwa Bufa
Uzuri/ubaya wa kitu tunapima kwenye mizani...je itaegemea upande upi? Wa faida ama hasara?
 
hiyo picha ungeweka ya mtu mweusi ujumbe wako usingefika?
 
Yani mimi ni muathirika lkn nashangaa mkono wa kushoto sitafuni ila wa kulia natafuna
 
Asante kwa somo zuri hata mmea wa Aloe vera unasaidia sana kujipaka vidolen. MI nitaacha
 
Ntaacha mama, maana kuna muda mpaka zinatoa damu najitahidigi kuzifuga ila nikiwa na stress zangu najikuta nazila zote
Jaribu hizo tiba mbalimbali nimeona na aloe Vera kumbe pia ni dawa
 
Jaribu hizo tiba mbalimbali nimeona na aloe Vera kumbe pia ni dawa
Sasa mkuu iyo dawa itanitibu kisaikolojia? Maana nikiwa na stress au mtu akiniudhii huwa sipendi kuongea nakata tu kucha zangu na si wakati wote
 
Sasa mkuu iyo dawa itanitibu kisaikolojia? Maana nikiwa na stress au mtu akiniudhii huwa sipendi kuongea nakata tu kucha zangu na si wakati wote
Hapana hizi ni kwa ajili ya Ladha ishu ya kisaikolojia ukipenda ni mpaka tuonane
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…