Tatizo la Feisal liko wapi?

Ndiye mkuu ila kwa muundo wa club Hersi hafanyi maamuzi yy mwenyewe, lazima bodi iamue. Nyie kama club yenu Mangungu anafanya maamuzi ya kila kitu yy mwenyewe ni nyie Yanga ni tofauti kwani si mali ya mtu.
Feisali amemtaja Hersi kama ndio kiini cha matatizo, hajataja member wa bodi yeyote kwa maana hakuna aliyehusika
 
Kwani si hata kesi ya Morrison yanga walishinda TFF ila walipoenda CAS wakaangukia pua TFF si wanazibeba simba na yanga we unaamini watasema simba au yanga ina makosa wapo kwa maslahi yao binafsi tu.
Duu wewe mpira hifuatili kabisaaa yaani huna unacho kijua.

Yanga ndiye aliyekata rufaa baada ya kushindwa TFF, ndipo akaenda CAS akashindwa tena kwa mara ya pili na kama hujui mwanasheria anaisimamaia kesi ya Fei ndiye aliye isimamia ya Morrison na kishabwaga mara mbili mpaka sasa ktk kesi ya Fei na huyo huyo Simon.

Duu kumbe mweupe...........
 
Feisali amemtaja Hersi kama ndio kiini cha matatizo, hajataja member wa bodi yeyote kwa maana hakuna aliyehusika
Kwani TFF wakati wakisikiliza kesi yake Hersi alikuwepo?

Kiini cha kesi yake ni kuto heshim mkataba mkataba alio ingia na si Hersi.Hersi yy ni msimamizi,yupo pale kama mwajiliwa wa Yanga.

Hersi hata kesho anaweza kuondoka ila atakaye kuja ataanza na mikataa ya wachezaji inasemaje na akiona Yanga ina haki kwa mchezaji fulani lazima atasimama kuhakikisha Yanga inapata haki yake.
 
Asante Mama FaizaFoxy na huu uzi ufungwe. Jibu ni hili na kuongezea tatizo lake kula ugali na sukari badala na chumvi.
Haiingii akilini hiyo. Lsbda wachezaji walikuwa wanapewa diet ya kuongeza nguvu mwilini kwa ujinga wake akaona ni ugali kwa sukari.


Hata alivyokuwepo Maximo timu ya Taifa tuliwahi kusoma wachezaji anawalisha miwa kwa wingi mpaka ikawa inapelekwa kwa mikokoteni, alisema hawana nguvu zinazohitajika kwa wachezaji mpira.

Huyu Faisal ni wakuonewa huruma tu, hamnazo na washauri wake ni mapunguani.
 
Kwani TFF wakati wakisikiliza kesi yake Hersi alikuwepo?

Kiini cha kesi yake ni kuto heshim mkataba mkataba alio ingia na si Hersi.Hersi yy ni msimamizi,yupo pale kama mwajiliwa wa Yanga.

Hersi hata kesho anaweza kuondoka ila atakaye kuja ataanza na mikataa ya wachezaji inasemaje na akiona Yanga ina haki kwa mchezaji fulani lazima atasimama kuhakikisha Yanga inapata haki yake.
Waliokuwepo walienda kwa ruhusa yake

Alifanya kiashiria gani ambacho kilionesha haeshimu mkataba?

Kwasababu Yanga wao walitoa malalamiko wakisema Mkataba umevunjwa bila kufuata utaratibu

Au hiyo ya kutofuata utaratibu ndio umeitafsiri kama kutoheshimu mkataba?
 
Waliokuwepo walienda kwa ruhusa yake

Alifanya kiashiria gani ambacho kilionesha haeshimu mkataba?

Kwasababu Yanga wao walitoa malalamiko wakisema Mkataba umevunjwa bila kufuata utaratibu

Au hiyo ya kutofuata utaratibu ndio umeitafsiri kama kutoheshimu mkataba?
Wale ni waajiliwa wa Yanga na si Hersi kwani hata Hersi ni mwajiliwa na lile swala la kisheria na Hersi sio mwanasheria.

Mkataba wake unamtaka awe kazini mpaka 2024 June,vp sasa hivi yupo kazini?

Yaah kila mikataba unataratibu zake na ndio maana mpaka sasa Yanga kishashinda mara tatu TFF.
 
Hersi: Nisamehe nilipokosea, Rudi kambini tunakuhitaji, Tutaboresha malsahi, m30 kwa mwezi.

Fei: Sawa nimekusamehe ila siwezi kufanya kazi na wewe tena, naomba niruhusu.

Hersi: Timu inayokutaka ije.

Fei: Hakuna timu inayonihitaji, niruhusu niondoke.

Hersi: Njoo malizia mkataba wako.

Fei: Nafsi yangu haitaki tena kufanya kazi na wewe, niruhusu niondoke.

Hersi: Basi nenda CAS.

Vyura: Fei msalitiii, anatumikaaa, Hatumuitaji, Yanga ni kubwa sana kuliko Fei, tutamnyooshaaa, sisi ndo Yangaaaa.
 
Wale ni waajiliwa wa Yanga na si Hersi kwani hata Hersi ni mwajiliwa na lile swala la kisheria na Hersi sio mwanasheria.

Mkataba wake unamtaka awe kazini mpaka 2024 June,vp sasa hivi yupo kazini?

Yaah kila mikataba unataratibu zake na ndio maana mpaka sasa Yanga kishashinda mara tatu TFF.
Umenielewa nilipokukumbusha malalamiko ya Yanga kuhusu Feisali?

Yanga alitoa malalamiko kuwa Feisali amevunja mkataba bila kufuata utaratibu

Sasa sheria za FIFA unazielewa?
 
Wale ni waajiliwa wa Yanga na si Hersi kwani hata Hersi ni mwajiliwa na lile swala la kisheria na Hersi sio mwanasheria.

Mkataba wake unamtaka awe kazini mpaka 2024 June,vp sasa hivi yupo kazini?

Yaah kila mikataba unataratibu zake na ndio maana mpaka sasa Yanga kishashinda mara tatu TFF.
Mchezaji hayupo kambini, mchezaji anazunguka kwenye vyombo vya habari kuwapopoa,mchezaji hawaheshimu.

Hersi: Fei ni mchezaji mwenye nidhamu ila kuna mtu anamdanganya.

INAKUWA KAMA MNALILIA PENZI. ANAWAPA NINI HUYU MNASHINDWA KUMPA ADHABU NA KUMFUKUZA? AIBU GANI HIZI.
 
Umenielewa nilipokukumbusha malalamiko ya Yanga kuhusu Feisali?

Yanga alitoa malalamiko kuwa Feisali amevunja mkataba bila kufuata utaratibu

Sasa sheria za FIFA unazielewa?
Malalamiko ya Fei unanikumbusha mimi ili iweje,wakati sehemu panapostahili TFF kishashindwa mara tatu,hata ukinikumbusha mimi sina maamuzi ya malalamiko yake.

Mimi sio mwanasheria, ila TFF ni mwanachama wa FIFA anayesimamamia sheria za FIFA na hata hiyo kesi imeongozwa kwa mujibu wa sheria za FIFA so kama anaonewa,FIFA wameweka CAS aende ngazi nyingine ya juu CAS kudai haki yake.

Humu JF hayupo anayejua KUTAFSIRI SHERIA za FIFA maana kuijua sheria na kutafsiri sheria, kujua inatumika wapi na wakati gani ni vitu viwili tofauti.
 
Mchezaji hayupo kambini, mchezaji anazunguka kwenye vyombo vya habari kuwapopoa,mchezaji hawaheshimu.

Hersi: Fei ni mchezaji mwenye nidhamu ila kuna mtu anamdanganya.

INAKUWA KAMA MNALILIA PENZI. ANAWAPA NINI HUYU MNASHINDWA KUMPA ADHABU NA KUMFUKUZA? AIBU GANI HIZI.
Sisi tunachotaka ni kufuata utaratibu basi simple, hajazuiwa kuja kwenye meza ya mazungumzo.

Halafu Yanga ni timu ambayo moja ya lengo lake ni kufanya biashara ya wachezaji so wachezaji sometimes wanakuwa kama bidhaa,so huwezi kumpangia mtu biashara yake aendeshe vipi.

Halafu sisi hatumg'ang'anii mtuu bali tunataka taratibu zifuate simple na hiyo room ya mazungumzo ipo kapewa ya mazungumzo.

Labda nyie kwenu Simba kama hamna utaratibu ni nyie,ila Yanga kuna sheria,miongozo na taratibu.
 
Malalamiko ya Fei unanikumbusha mimi ili iweje,wakati sehemu panapostahili TFF kishashindwa mara tatu,hata ukinikumbusha mimi sina maamuzi ya malalamiko yake.

Mimi sio mwanasheria, ila TFF ni mwanachama wa FIFA anayesimamamia sheria za FIFA na hata hiyo kesi imeongozwa kwa mujibu wa sheria za FIFA so kama anaonewa,FIFA wameweka CAS aende ngazi nyingine ya juu CAS kudai haki yake.

Humu JF hayupo anayejua KUTAFSIRI SHERIA za FIFA maana kuijua sheria na kutafsiri sheria, kujua inatumika wapi na wakati gani ni vitu viwili tofauti.
Hata kuelewa hujaelewa.

Sijasema malalamiko ya Feisali, nimesema malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisali uliyaelewa?

Kwani sheria za FIFA zimeandikwa kwa codes kwamba kuwe na watu wachache tu kama kina Davinci ambao ndio wenye uwezo pekee wa ku decode?
 
Sisi tunachotaka ni kufuata utaratibu basi simple, hajazuiwa kuja kwenye meza ya mazungumzo.

Halafu Yanga ni timu ambayo moja ya lengo lake ni kufanya biashara ya wachezaji so wachezaji sometimes wanakuwa kama bidhaa,so huwezi kumpangia mtu biashara yake aendeshe vipi.

Halafu sisi hatumg'ang'anii mtuu bali tunataka taratibu zifuate simple na hiyo room ya mazungumzo ipo kapewa ya mazungumzo.

Labda nyie kwenu Simba kama hamna utaratibu ni nyie,ila Yanga kuna sheria,miongozo na taratibu.
Fei: Nimekaa masaa 6 tukizungumza na Hersi.

Hersi: Kuna option tatu tu.
Moja rudi tuboreshe maslahi, rudi malizia mkataba wako, timu inayokutaka ije.

Fei anasema hana timu. Inamaana huo utaratibu anaotaka Fei aufate hauhusishi Fei kuondoka mwenyewe.
 
Hata kuelewa hujaelewa.

Sijasema malalamiko ya Feisali, nimesema malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisali uliyaelewa?

Kwani sheria za FIFA zimeandikwa kwa codes kwamba kuwe na watu wachache tu kama kina Davinci ambao ndio wenye uwezo pekee wa ku decode?
Brother hizo fani za watu jifunze kuziheshim na ndio maana pale law school wanaanza 800,wanao toboa 26,kama ingekuwa rahisi ufikiliavyo wangetoboa wote 800.

Malamiko ya Yanga nime ya elewa kwamba mchezaji kavunja mkataba bila kufuata sheria na taratibu za mkataba alio ingia.
 
Hersi: Nisamehe nilipokosea, Rudi kambini tunakuhitaji, Tutaboresha malsahi, m30 kwa mwezi.

Fei: Sawa nimekusamehe ila siwezi kufanya kazi na wewe tena, naomba niruhusu.

Hersi: Timu inayokutaka ije.

Fei: Hakuna timu inayonihitaji, niruhusu niondoke.

Hersi: Njoo malizia mkataba wako.

Fei: Nafsi yangu haitaki tena kufanya kazi na wewe, niruhusu niondoke.

Hersi: Basi nenda CAS.

Vyura: Fei msalitiii, anatumikaaa, Hatumuitaji, Yanga ni kubwa sana kuliko Fei, tutamnyooshaaa, sisi ndo Yangaaaa.
wasipo elewa hapa, basi hawata elewa kamweee.
 
Fei: Nimekaa masaa 6 tukizungumza na Hersi.

Hersi: Kuna option tatu tu.
Moja rudi tuboreshe maslahi, rudi malizia mkataba wako, timu inayokutaka ije.

Fei anasema hana timu. Inamaana huo utaratibu anaotaka Fei aufate hauhusishi Fei kuondoka mwenyewe.
Kwani mkataba alisaini na nani?
 
Back
Top Bottom