Tatizo la DR Congo siyo Rwanda

kadeti

JF-Expert Member
Aug 19, 2011
992
864
Mtifuano baina ya viongozi wawili wa mataifa ya DRC na Rwanda ambao mpaka sasa unasabishwa na madai ya serikali ya Congo kuishutumu Serikali ya Rwanda kuivamia Congo na kupora Mali zake kupitia kikundi cha M23.

Lkn mbali zaidi anashutumiwa kwa mauaji yanayosababishwa na M23 dhidi ya wananchi wa Congo.

Kwanini namuunga Kagame juu ya uporaji wa Mali za Congo kupitia M23 na siyo mauaji yanayosababishwa na M23.. Ni rahisi sana kimlaumu Kagame wakati mataifa ya Magharibi wao wanapora Mali za Congo na kuzipeleka nje ya Bara la Afrika kwa kuindeleza America na Ulaya lkn Kwa Kagame imekuwa shubiri.

Kwa muda wa miaka mingi Taifa la Congo ndio taifa pekee Afrika lenye vikundi vya waasi ndani ya nchi, na yote hiyo ni kwa ajili ya ukubwa wa nchi hiyo uliyojaa rasilimali nyingi sana kiasi kwamba nchi nyingine inaweza kuendesha budget yake kwa kutegemea kipato kutoka kwenye rasilimali za Congo tu.

Sasa basi ni vyema Kagame akawa muwazi na akaja na namna bora isiyokuwa na athari kwa wananchi wa Congo jinsi ya yeye kuvuna hizo Mali za Congo, kwa maana Congo ni Afrika na Rwanda ni Afrika, kulikoni ikavunwa na Mataifa ya Magharibi na kisha kuinufaisha Ulaya na Amerika.
 
Ni dhahiri kabisa hii nchi ina nia mbaya kwa jirani yake .,. Kuna kigezo wana tumia kuimega eneo la DRC, kuna hawa watu raia wa DRC wenye asili ya Rwanda .wenyewe wanawaita kinyarwandaspeaking congolese wanasema enzi za ukoloni sehemu ya ardhi ya rwanda ilimegwa ma kupelekwa congo,
 
Mtifuano baina ya viongozi wawili wa mataifa ya DRC na Rwanda ambao mpaka sasa unasabishwa na madai ya serikali ya Congo kuishutumu Serikali ya Rwanda kuivamia Congo na kupora Mali zake kupitia kikundi cha M23.

Lkn mbali zaidi anashutumiwa kwa mauaji yanayosababishwa na M23 dhidi ya wananchi wa Congo.

Kwanini namuunga Kagame juu ya uporaji wa Mali za Congo kupitia M23 na siyo mauaji yanayosababishwa na M23.. Ni rahisi sana kimlaumu Kagame wakati mataifa ya Magharibi wao wanapora Mali za Congo na kuzipeleka nje ya Bara la Afrika kwa kuindeleza America na Ulaya lkn Kwa Kagame imekuwa shubiri.

Kwa muda wa miaka mingi Taifa la Congo ndio taifa pekee Afrika lenye vikundi vya waasi ndani ya nchi, na yote hiyo ni kwa ajili ya ukubwa wa nchi hiyo uliyojaa rasilimali nyingi sana kiasi kwamba nchi nyingine inaweza kuendesha budget yake kwa kutegemea kipato kutoka kwenye rasilimali za Congo tu.

Sasa basi ni vyema Kagame akawa muwazi na akaja na namna bora isiyokuwa na athari kwa wananchi wa Congo jinsi ya yeye kuvuna hizo Mali za Congo, kwa maana Congo ni Afrika na Rwanda ni Afrika, kulikoni ikavunwa na Mataifa ya Magharibi na kisha kuinufaisha Ulaya na Amerika.
Tupo kwenye harakati za kuanzisha Jamhuri ya KIVU, mji mkuu ukiwa mji wa Goma. Nchi hii itakuwa ni eneo lote la DRC Mashariki.
 
Kagame ni wa kulaumiwa zaidi kwa Hili maana yeye anadai alipomsaidia kabila kumtoa Mobutu alifanya vile kwa Kuwa aliahidiwa mikoa miwili mashariki kwa Congo lakini kabila akamgeuka na hapa ndio Africa world war ilipoanzia . Kagame mpaka leo anaitaka ile mikoa na anataka kufanya expansion za kale kanchi kake kadogo kama Shamba la kahawa .
 
Ni dhahiri kabisa hii nchi ina nia mbaya kwa jirani yake .,. Kuna kigezo wana tumia kuimega eneo la DRC, kuna hawa watu raia wa DRC wenye asili ya Rwanda .wenyewe wanawaita kinyarwandaspeaking congolese wanasema enzi za ukoloni sehemu ya ardhi ya rwanda ilimegwa ma kupelekwa congo,
Wanyarwanda wenye hoja mfirisi ndio wanachochea vurugu ndani ya Congo.

Sasa swali kwa wapuuzi hao: Hivi Congo imepakana na nchi ngapi za Kiafrika? Wanataka Angola, Zambia,Tanzania,Uganda na Afrika ya kati nazo zidai kwamba wakati wa Ukoloni sehemu ya aridhi zao zilipewa Taifa la Congo - hivi tuki entertain madai kama hayo kuna nchi itabakia inayo julikana kama Congo - si itamegwa megwa vipande vipande kila nchi ikidai ni sehemu ya Taifa lao?
 
Wanyarwanda wenye hoja mfirisi ndio wanachochea vurugu ndani ya Congo.

Sasa swali kwa wapuuzi hao: Hivi Congo imepakana na nchi ngapi za Kiafrika? Wanataka Angola, Zambia,Tanzania,Uganda na Afrika ya kati nazo zidai kwamba wakati wa Ukoloni sehemu ya aridhi zao zilipewa Taifa la Congo - hivi tuki entertain madai kama hayo kuna nchi itabakia inayo julikana kama Congo - si itamegwa megwa vipande vipande kila nchi ikidai ni sehemu ya Taifa lao?
Hii notion imeibuka sasa iv juzi PK alifanya interview alisikika akisema iuo notiin ya kinyarwanda speaking congolese, lkn pia ina maana hawa wa rwanda sasa watakuja kudai hata hapa Tz, na sisi Tz pia tuseme kenya na uganda wana sehemu ya Tz zilichukuliwa kipindi cha ukoloni..😀😀😀


Ni hoka ya kijinga sanaaa kiukwelii
 
Wanyarwanda wenye hoja mfirisi ndio wanachochea vurugu ndani ya Congo.

Sasa swali kwa wapuuzi hao: Hivi Congo imepakana na nchi ngapi za Kiafrika? Wanataka Angola, Zambia,Tanzania,Uganda na Afrika ya kati nazo zidai kwamba wakati wa Ukoloni sehemu ya aridhi zao zilipewa Taifa la Congo - hivi tuki entertain madai kama hayo kuna nchi itabakia inayo julikana kama Congo - si itamegwa megwa vipande vipande kila nchi ikidai ni sehemu ya Taifa lao?
Wacongo watumie nguvu zao zote kuinyoosha Rwanda
Nalog off Z
 
Mtifuano baina ya viongozi wawili wa mataifa ya DRC na Rwanda ambao mpaka sasa unasabishwa na madai ya serikali ya Congo kuishutumu Serikali ya Rwanda kuivamia Congo na kupora Mali zake kupitia kikundi cha M23.

Lkn mbali zaidi anashutumiwa kwa mauaji yanayosababishwa na M23 dhidi ya wananchi wa Congo.

Kwanini namuunga Kagame juu ya uporaji wa Mali za Congo kupitia M23 na siyo mauaji yanayosababishwa na M23.. Ni rahisi sana kimlaumu Kagame wakati mataifa ya Magharibi wao wanapora Mali za Congo na kuzipeleka nje ya Bara la Afrika kwa kuindeleza America na Ulaya lkn Kwa Kagame imekuwa shubiri.

Kwa muda wa miaka mingi Taifa la Congo ndio taifa pekee Afrika lenye vikundi vya waasi ndani ya nchi, na yote hiyo ni kwa ajili ya ukubwa wa nchi hiyo uliyojaa rasilimali nyingi sana kiasi kwamba nchi nyingine inaweza kuendesha budget yake kwa kutegemea kipato kutoka kwenye rasilimali za Congo tu.

Sasa basi ni vyema Kagame akawa muwazi na akaja na namna bora isiyokuwa na athari kwa wananchi wa Congo jinsi ya yeye kuvuna hizo Mali za Congo, kwa maana Congo ni Afrika na Rwanda ni Afrika, kulikoni ikavunwa na Mataifa ya Magharibi na kisha kuinufaisha Ulaya na Amerika.
nenda shamba la jirani yako kachume mahindi alaf ukiulizwa ujibu,"hili ni shamba la jirani yangu,nina haki ya kunufaika na mali zake kuliko nyie wa2 wa mbali mnaoniuliza"......then nitakuja kukusalimia pale muhimbili,au nitakuja kwenye msiba wako.
 
Back
Top Bottom