east36
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,333
- 571
Mimi ni mtumiaji wa simu yenye kutumia system ya android. Sasa basi katika kupiga simu kwa watu tofauti kuna tatizo limekua likijitokeza.
Nikipiga simu kwa mtu fulani kutoka kwenye contacts zangu inapiga safi kabisa.
Tatizo linajitokeza nikitaka kuipiga ile namba tena ile sifuri inakua imefutika. Kisha napata ujumbe tafadhali angalia namba unayopiga kisha upige tena.
1.Je hili tatizo linasababishwa na nini?
2.Ni njia gani nitumie niweze kutatua hili tatizo.
Nawasilisha.
Cc Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko Mwl. rct
Nikipiga simu kwa mtu fulani kutoka kwenye contacts zangu inapiga safi kabisa.
Tatizo linajitokeza nikitaka kuipiga ile namba tena ile sifuri inakua imefutika. Kisha napata ujumbe tafadhali angalia namba unayopiga kisha upige tena.
1.Je hili tatizo linasababishwa na nini?
2.Ni njia gani nitumie niweze kutatua hili tatizo.
Nawasilisha.
Cc Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko Mwl. rct
Last edited by a moderator: