Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,741
- 41,069
Pole sana dada, this is a very serious problem which needs a very technical approach in dealing with, hapo ulipo si mahali salama tena kuwepo, ingawa watoto wenu wanahitaji malezi ya baba na mama, hapa cha msingi ni separation, unawezaje kuwa on the safe side katika kupata hiyo separation: anza kwa wasimamizi wa bdoa yenu washirikishe, nenda kashtaki kwa wazazi kifanyike kikao cha familia zote, mpeleke kwa mchungaji wa kanisa mnalosali kote huko toa ushahidi wa ufedhuli huo, ukiomba guarantee ya matunzo kwa familia, hakikisha matunzo kwa familia yanatolewa ila, omba separation ambayo wewe utakuwa on the safe side katika ngazi zote, kisheria, kidini na kijamii..hapo kinachofuata ni UKIMWI..