Binafsi sikibahatika kulipata tangazo. Wamesema marekebisho hayo yanachukua muda gani? Yani lini tutaweza kununua umeme bila shida?Kwani jana si walitoa taarifa kabsa ,mnunue umeme mapema wana marekebisho kwenye mfumo wa ununuaji
ChekiBinafsi sikibahatika kulipata tangazo. Wamesema marekebisho hayo yanachukua muda gani? Yani lini tutaweza kununua umeme bila shida?