DOKEZO Tatizo la umeme wilaya ya Chunya

DOKEZO Tatizo la umeme wilaya ya Chunya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

ChunyaBoi

New Member
Joined
Jun 19, 2026
Posts
1
Reaction score
1
Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili.

Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni makubwa mno. Kukatika kwa umeme eneo hili kunaleta hasara kubwa sana kwa watumiaji.
 
Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili.

Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni makubwa mno. Kukatika kwa umeme eneo hili kunaleta hasara kubwa sana kwa watumiaji.
Habari, Ndugu Mteja.

Asante kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja.

Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukujibu. Kutokana na changamoto ya muda iliyojitokeza kwenye akaunti yetu, ujumbe wako ulitufikia kwa kuchelewa. Hata hivyo, kwa sasa huduma imerejea katika hali ya kawaida.

Tafadhali, tunaomba kutufahamisha kama changamoto uliyoiwasilisha bado inaendelea au tayari imetatuliwa. Endapo bado unaikabili, tafadhali tujulishe ili tuweze kuifuatilia na kuhakikisha inapatiwa ufumbuzi kwa haraka.

Asante sana kwa uvumilivu na ushirikiano wako. Karibu sana. ^CM
 
Habari, Ndugu Mteja.

Asante kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja.

Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukujibu. Kutokana na changamoto ya muda iliyojitokeza kwenye akaunti yetu, ujumbe wako ulitufikia kwa kuchelewa. Hata hivyo, kwa sasa huduma imerejea katika hali ya kawaida.

Tafadhali, tunaomba kutufahamisha kama changamoto uliyoiwasilisha bado inaendelea au tayari imetatuliwa. Endapo bado unaikabili, tafadhali tujulishe ili tuweze kuifuatilia na kuhakikisha inapatiwa ufumbuzi kwa haraka.

Asante sana kwa uvumilivu na ushirikiano wako. Karibu sana. ^CM
0782510235 Meneja Tanesco Chunya!
Muulizeni atawajibu, hali halisi ilivyo,huko Chunya!

Hali ni mbaya ,Mbaya ,mbaya kabisa.
Low voltage mchana hakuna umeme wa kutosha, usiku pia na siku za Alhamis na Jumamosi hakunaga umeme kabisa kwa kila wiki.

Hili ni janga la Taifa
 
0782510235 Meneja Tanesco Chunya!
Muulizeni atawajibu, hali halisi ilivyo,huko Chunya!

Hali ni mbaya ,Mbaya ,mbaya kabisa.
Low voltage mchana hakuna umeme wa kutosha, usiku pia na siku za Alhamis na Jumamosi hakunaga umeme kabisa kwa kila wiki.

Hili ni janga la Taifa
Asante, ndugu mteja.

Kufuatia taarifa uliyotupatia, tumebaini kuwa changamoto hiyo bado ipo na tumeipokea kwa ajili ya ufuatiliaji na ofisi ya mkoa husika. Mara baada ya kupata mrejesho rasmi, tutatoa taarifa na mwongozo stahiki kwa wateja wetu wote wa Chunya wanaokabiliwa na changamoto hii.

Tunaomba uvumilivu wako wakati tunapoendelea kufanya ufuatiliaji suala hili ili kuhakikisha linapatiwa ufumbuzi unaostahili.

Asanteni sana! ^CM
 
Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili.

Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni makubwa mno. Kukatika kwa umeme eneo hili kunaleta hasara kubwa sana kwa watumiaji.
Habari, Ndugu Mteja.

Asante sana kwa kutupa muda wa kufuatilia suala hili.

Baada ya kufanya ufuatiliaji kuhusu changamoto ya umeme mdogo (Low Voltage) katika Wilaya ya Chunya, tunapenda kukufahamisha kuwa tayari hatua za kutatua changamoto hiyo zinaendelea kupitia ratiba ya matengenezo na maboresho ya miundombinu ya umeme yanayotekelezwa kwa awamu.

Kwa mfano, kesho kutakuwa na usitishaji wa huduma katika baadhi ya maeneo ili kutoa fursa kwa wataalamu wetu kuendelea na kazi za maboresho zinazolenga kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika.

Kwa urahisi wa kufuatilia, tumeambatanisha tangazo lenye ratiba ya matengenezo, linaloonyesha maeneo yatakayoathirika pamoja na vipindi vya usitishaji wa huduma. Matengenezo haya yanalenga kutoa suluhisho la kudumu kwa changamoto ya umeme mdogo katika eneo hilo.

Tunaomba uvumilivu na ushirikiano wenu wakati maboresho haya yakiendelea. Asante sana. ^GK
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2026-07-29 at 10.01.42.jpeg
    WhatsApp Image 2026-07-29 at 10.01.42.jpeg
    46.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom