Kwenye umeme na mafuta....

Kwenye umeme na mafuta....

YASIYOSEMWA

Member
Joined
Jun 1, 2026
Posts
31
Reaction score
58
Tuambizeni ukweli hizo tozo na Makato hasa kwenye umeme yamezidi...
Unanua umeme wa 5000/=
Unapata unit za 3800/=
Kuna Makato kibao rea,Vat,ewura Kwa sitaili hii kujiajiri Ni ndoto TUWENI TU MAWINGA....
UMEME WA BWAWA LA NYERERE
Ulisafirishwa kwenda wapi mbona Bei YA umeme haishuki kama supply imeongezeka
 
Kodi/tozo mbalimbali ni muhimu kwa maendeleo.

Tatizo kubwa linakuwa kutozitumia kihalali kwa ustawi na usalama wa walipa kodi wote.
 
Yaani huyu mama sijui ana ng'ang'ania nini hapo, kiukweli anatuumiza siku hizi umeme wa elf kumi hautoshi kabisa baada ya wiki umeisha
 
Back
Top Bottom