RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Napenda kusema kwamba viongozi wa CHADEMA na kundi linaowaunga mkono waache nongwa kwa wabunge 19 walioapishwa na Spika Job Ndugai mwaka 2020 kwani kuwafukuza kwao kwenye chama bila kufuata taratibu za kisheria ikiwemo kanuni za chama chao haimanishi ni rahisi kuchukua na ubunge wao mojakwamoja acheni u vasco dagama ambao hauna tija mmeshawafukuza mnajadili ubunge wao wa nini.
Kama mlikosea taratibu za kuwafukuza kwenye chama mnataka iwe rahisi na kufukuzwa ubunge? Nyie ni watu wa aina gani mbona mnapiga miluzi mingi ambayo haina tija kwa taifa.
Muangalie vizuri katiba yenu mmekurupuka kufanya maamuzi kumbukeni ndani ya hao wabunge 19 kulikuwa na kiongozi wa BAWACHA na mnajuwa vyema kabisa taratibu na kanuni za kuweza kumfukuza kwenye chama sasa kwa vile mmeshazoea kuburuza wanachama wenu naona hili nalo mmekurupuka.
Nawatakia kila la heri katika mapambano ambayo sion kama yanatija. Narudia kama mmeshawafukuza msiwafuatefuate barua mlipeleka kwa spika mmeshamaliza mambo mengine achieni ofisi ya spika yenyewe.
Kama mlikosea taratibu za kuwafukuza kwenye chama mnataka iwe rahisi na kufukuzwa ubunge? Nyie ni watu wa aina gani mbona mnapiga miluzi mingi ambayo haina tija kwa taifa.
Muangalie vizuri katiba yenu mmekurupuka kufanya maamuzi kumbukeni ndani ya hao wabunge 19 kulikuwa na kiongozi wa BAWACHA na mnajuwa vyema kabisa taratibu na kanuni za kuweza kumfukuza kwenye chama sasa kwa vile mmeshazoea kuburuza wanachama wenu naona hili nalo mmekurupuka.
Nawatakia kila la heri katika mapambano ambayo sion kama yanatija. Narudia kama mmeshawafukuza msiwafuatefuate barua mlipeleka kwa spika mmeshamaliza mambo mengine achieni ofisi ya spika yenyewe.