Tatizo hili ni la mke wangu tu au wanawake wote married?

Mnaochangia mmeoa au mnachangia tu kwa uzoefu wa kusoma kwenye vitabu vya udaku.? Kuanzia wadhamini nimewaeleza na walishachoka kumweleza na wakasema hatuwezi kuongea na sikio la kufa. wazazi wake walishamwambia na kumwonya na kumfunda mara ya pili na wakaniomba nirudi kukaa naye akileta shida niwaambie tena . Hii ndo ni mojawapo ya sababu kuwa hathubutu kabisa kwenda kwao nikimfukuza. NINGEKUWA MI NINA MATATIZO HAWA MASHAHIDI WOTE INCLUDING WAZAZI WAKE TENA WENYE UWEZO WASINGEMWONYA NA KUMWEKA KIKAO.

Dah! Kuwekwa kikao na Wazazi wake si ushahidi kama mkeo ndiye mwenye matatizo. Vitabu vya udaku ndiyo vipi hivyo? ni nani mtunzi wa hivyo vitabu? Badilika Kaka ili uishi vizuri na mkeo au utakuja kupata kimeo hapo ndio utajuta kuzaliwa na kumkumbuka mkeo huyu ambaye anajaribu kadri ya uwezo wake kukuridhisha lakini huridhiki. Hakuna binadamu ambaye yuko perfect lakini inaelekea matatizo ya mkeo si makubwa kiasi hicho na unaweza kabisa kuyasamehe lakini hutaki kufanya hivyo. Watu wanakupa ushauri wa bure ufanyie kazi na pia ubadilike vinginevyo utapoteza mke na kubaki na majuto mjukuu.
 
Mshirikishe MUNGU sio wanadamu, wanadamu wataishia kukuvunja moyo tu na vimisemo vyao vya ajabu ajabu kama haka " Man marries a woman hoping that she wont change, Woman marries a woman hoping that she will change him....sijui huu uongo unamalizikiaje huko! wakumshirikisha ni MUNGU tu!
 
<br />
<br />

Kwakweli mimi naona tatizo la mke wako ni kuwa hapay attention to details hivyo unawajibika kumwandikia na hiyo inakukwaza zaidi ya hapo she's a workaholic, hanywi, ana spend muda mrefu nyumbani etc, pengine na wewe una kajiwivu kidogo kuwa anaprosper sana kazini kwahiyo unakasirika ukikuta nguo juu ya TV and to prove ur point unamfukuza kuonyesha kuna kitu uko above yeye, hivi siku akiondoka na asirudi utafanyeje ? Kumbuka nyote mnaamka saa 12 kwenda kazini nyote wawili mnarudi na hizi foleni labda saa 2, muda mnaofika inabidi abebe jukumu la umama kuangalia mazingira ya home na watoto, kwakweli si kila siku unaweza kupata hizo nguvu,

Mweleweshe kwa upole kwani hafanyi makusudi

Nina learn hapa kitu kwamba akina mama mna silika ya kutetea wenzenu. Watu wanashangaa eti inakuwaje ninaongea wakati nafaidi hela za mke wangu. Mimi fedha za mtu yeyote haziwezi kunifanya mtumwa na mtu yeyote anakubali kuumia kwa sababu tu analishwa na mkewe basi ajue ni mtumwa wa karne hii .Wanaume wanafugwa kama kuku kwa kujilainisha na kudowea fedha za wanawake na badala yake wanajikuta wanadundwa kama watoto wakiwa hawana uhuru wala sauti. Ni wanaume wenye tabia za kivivu tu wataogopa kumkaripia mkewe anapokosa kwa kuogopa kunyimwa hela. mimi nafanya kazi na hata bila hela yake naweza kabisa ku survive na pia mimi siyo mvivu kwa hiyo hoja eti nimwache kwa sababu si mchoyo na hela yake ni wrong
 
Mnajua mkitoka tu kesho yake mnakuta nyumba iko occupied tayari; naona wote mna strategy inayofanan.
Tatizo la akina mama na dada mko very irrational hata kama mwenzao kosa linaonekana obvious bado mtateteana tu sijui mna matatizo gani.

sawa sie wadada tunateteana je na hao wanaume wanaokuambia umeoa lulu huwaoni???you dont know what you have untill its gone naona huu msemo unaaply kwako,naona umekuja ukiwa na majibu tayari ambayo ungependa kuyasikia kwa great thinkers umekuta kinyume kwa sababu hapa watu wanapembua mambo.pole mkeo ushaambiwa hana tatizo,tatizo wewe unataka kifaa kipya sentesi zako zinaonyesha huna interest na huyo dada kabisaaa otherwise usingekuwa unamfukuza,mie nakushauri ufufue mapenzi yako kwake for the sake of your family,jifunze kumpenda mkeo na mapungufu yake she is not perfect as you want her to be ,but so,does everbybody....hata ukimuacha utampta mwingine naye atakuja na mapungufu yake utaacha wangapi?...learn to be tolerant.
 
Mshirikishe MUNGU sio wanadamu, wanadamu wataishia kukuvunja moyo tu na vimisemo vyao vya ajabu ajabu kama haka " Man marries a woman hoping that she wont change, Woman marries a woman hoping that she will change him....sijui huu uongo unamalizikiaje huko! wakumshirikisha ni MUNGU tu!

Umenigusa mkuu ni kweli hata mimi nimeona michango ya watu wengi humu ni more of idealism na hawawezi kujiweka kwenye nafasi halisi yangu bali wanachangia tu kiutani utani.
 
Nina learn hapa kitu kwamba akina mama mna silika ya kutetea wenzenu. Watu wanashangaa eti inakuwaje ninaongea wakati nafaidi hela za mke wangu. Mimi fedha za mtu yeyote haziwezi kunifanya mtumwa na mtu yeyote anakubali kuumia kwa sababu tu analishwa na mkewe basi ajue ni mtumwa wa karne hii .Wanaume wanafugwa kama kuku kwa kujilainisha na kudowea fedha za wanawake na badala yake wanajikuta wanadundwa kama watoto wakiwa hawana uhuru wala sauti. Ni wanaume wenye tabia za kivivu tu wataogopa kumkaripia mkewe anapokosa kwa kuogopa kunyimwa hela. mimi nafanya kazi na hata bila hela yake naweza kabisa ku survive na pia mimi siyo mvivu kwa hiyo hoja eti nimwache kwa sababu si mchoyo na hela yake ni wrong
<br />
<br />
Naomba urudie kusoma post yangu vizuri uone kama nimekuambia suala la hela, isome kisha uijibu, pia jibu swali moja umeulizwa difference ya miaka na miaka mliyoko ndani ya ndoa
 
inawezekana mama wa watu nae keshamchoka jamaa! huyu ndugu ni control freak,hakuna maisha magumu kama hayo.na kujisifia kuwa anamfukuza na huyo dada anaomba msamaha inaonesha jamaa anajisika hapo ni kwake yeye na sio kwao yeye na mkewe. the woman must be very demotivated,maybe nae anaogopa kuonekana kachemsha. lukansola, ukimpiga chura teke unaweza kua umempunguzia safari. women put up with a lot of s*%t aisee. sasa anamkuta dada wa watu anampigia nguo zake pasi,na anamind kuwa hakutoka nduki kumpa chai?!kuna mwanamke hajui jiko la gesi aliloleta mumewe linawashwaje atii!
Mwenzio anazungumzia kero kwenye mahusiano yake na mpaka ameleta hapa ina maana anataka ushauri baada ya kuchoka na hizo drama. Kama mamaaa atafurahia kufukuzwa si ndio vizuri, unataka jamaa anendlee kuishi na mtu anayefanya maigizo?
<br />
<br />
 
Huyu angekuwa mume wangu ndoa ingedumu two days.


inawezekana mama wa watu nae keshamchoka jamaa! huyu ndugu ni control freak,hakuna maisha magumu kama hayo.na kujisifia kuwa anamfukuza na huyo dada anaomba msamaha inaonesha jamaa anajisika hapo ni kwake yeye na sio kwao yeye na mkewe. the woman must be very demotivated,maybe nae anaogopa kuonekana kachemsha. lukansola, ukimpiga chura teke unaweza kua umempunguzia safari. women put up with a lot of s*%t aisee. sasa anamkuta dada wa watu anampigia nguo zake pasi,na anamind kuwa hakutoka nduki kumpa chai?!kuna mwanamke hajui jiko la gesi aliloleta mumewe linawashwaje atii!
<br />
<br />
 
sawa sie wadada tunateteana je na hao wanaume wanaokuambia umeoa lulu huwaoni???you dont know what you have untill its gone naona huu msemo unaaply kwako,naona umekuja ukiwa na majibu tayari ambayo ungependa kuyasikia kwa great thinkers umekuta kinyume kwa sababu hapa watu wanapembua mambo.pole mkeo ushaambiwa hana tatizo,tatizo wewe unataka kifaa kipya sentesi zako zinaonyesha huna interest na huyo dada kabisaaa otherwise usingekuwa unamfukuza,mie nakushauri ufufue mapenzi yako kwake for the sake of your family,jifunze kumpenda mkeo na mapungufu yake she is not perfect as you want her to be ,but so,does everbybody....hata ukimuacha utampta mwingine naye atakuja na mapungufu yake utaacha wangapi?...learn to be tolerant.

Nikimfukuza atakuwa exile tu na sina mpango wa kuona tena kwa sababu ninyi wanawake woote mna vitabia vya aina moja hata kama mmesoma mna behave kama mwanamke yeyote wa kijijini. Tena ladies wengine wa vijijini ni waelewa kuliko wa mjini. hao wanaume wanasema nimeoa lulu ni wale wanaopenda dezo za kupewa pewa na wanawake fuatilia hawana reason nyingine. Kuwa mvumilivu niko sana na ndo maana nimekaa naye kwa miaka 12. Jestina please nitendee haki
 
dahhh, pole sana mwana kwetu.

kisa chako kinanidhihirishia unampenda sana mkeo na hupo tayari kumpoteza...
na kwa jinsi ulivyielezea, mkeo anakupenda sana na nyote wawili mnafanya kila jitihada kuokoa ndoa yenu.

ninalokuomba, jaribu kuzi accomodate hizo tabia na mapungufu ya mkeo.
kwa hayo uliyoyaandika, ni mapungufu yanayokubalika iwapo tu utajikumbusha mkeo
ana mazuri yake yanayozidi mizani ya hayo mapungufu.

naomba kukuuliza....;
je, mnapokubaliana kutorudia hayo makosa mnakuwa katika mazingira gani?
kumbuka; DONT MAKE DECISIONS WHEN YOU ARE ANGRY, and do not make promises when you are happy.
 
Ushauri wako ni mzuri sana. Ukweli ni kwamba ilifika mahali akiweka ahadi tunaandika tarehe na huwa na hifadhi ila ku keep imekuwa ngumu na unapomletea ile karatasi ya makubaliano hushtuka kama hajui uliweka kumbukumbu na kuanza kuomba masamaha.

is this your wife really??

Mbona unamdhalilisha mbele za watu?
 
inawezekana mama wa watu nae keshamchoka jamaa! huyu ndugu ni control freak,hakuna maisha magumu kama hayo.na kujisifia kuwa anamfukuza na huyo dada anaomba msamaha inaonesha jamaa anajisika hapo ni kwake yeye na sio kwao yeye na mkewe. the woman must be very demotivated,maybe nae anaogopa kuonekana kachemsha. lukansola, ukimpiga chura teke unaweza kua umempunguzia safari. women put up with a lot of s*%t aisee. sasa anamkuta dada wa watu anampigia nguo zake pasi,na anamind kuwa hakutoka nduki kumpa chai?!kuna mwanamke hajui jiko la gesi aliloleta mumewe linawashwaje atii!
<br />
<br />

Itafika mahali huu mjadala tutaamua kwa kura kwa sababu nataka kuwa very democratic kwani nimepost hii mada kuomba ushauri na kuna ushauri mwingi mzuri umetolewa na GT na wengi wamekuwa neutral kutoa wazo la kusaidia. Mimi siyo control freak na wife anafanya kazi na safari ni nyingi na kuna freedom kubwa sana kwetu ila ktk ndoa inakuwa raha kila mtu anapochagua majukumu yake akayafanya na si kuachia upande mmoja. Mtu kusema hivyo haimaanishi ni control freak kwani lengo la jumla ni kuleta maendeleo ya familia . Kama upande mmoja hautawajibika sawasawa si rahisi kufikia malengo ya kifamilia.
 
Muwe mnaandika makubaliano.uyabandike kwenye dressing table ili asisahau.Kila mwezi fyatua kalenda let say october 1 hadi 31.jaza anayotakiwa kufanya bandika chumbani kwenye mlango wa friji
 
Muwe mnaandika makubaliano.uyabandike kwenye dressing table ili asisahau.Kila mwezi fyatua kalenda let say october 1 hadi 31.jaza anayotakiwa kufanya bandika chumbani kwenye mlango wa friji
ndoa sio service/sales agreement aisee
 
mie tungeishia 1st date nadhani. hawa ndo wale anakupenda bt u have to loose weight, change the way u walk,the way u chew food, mavazi and blah blah!
<br />
<br />

Hii argument ni sawa kabisa king'asti na ndio maana wewe siyo mke wangu. Kumbuka ndege wanaofanana huruka pamoja kwa hiyo mimi na wewe hatufanani.

Too judgemental kwa sababu inawezekana ndoa mnayotaka ni ile ya mama kukaa kibarazani na kupaka ina kila jioni halafu mkistaafu kazi mnahamia kwa watoto kuwatesa wakati mlikuwa na muda wa kutengeneza maisha yenu ya baadaye pamoja.
 
Nimekubaliana na wewe ila huna haja ya kupiga kura. Comments za humu si zoote za kuchukua. Hapa ni akili za mbayuwayu changanya na za kwako. Kuna watu mfano wanaweza sema piga chini huyo mke na wewe ukaona fika si suluhu. Kwa hiyo hapa una pata mitazamo ya watu ili uweze kupanua mawazo yako.

Inawezekana kabisa ukawa na wakati mgumu katika ndoa yako ila maelezo ulotoa humu yamechangia watu kutoa ushauri waliotoa.

Yawezekana kabisa kuna mambo makubwa ambayo umeona si busara kuyaweka jamvini (which is also right) na kwa kuwa umetumia mifano myepesi ndio maana watu hawaoni base ya malalamiko yako.

Ukweli mnao wenyewe; hamna atakayeweza kunusuru ndoa yako; si comments za JF great thinkers wala wazazi ni nyie wawili.

Itafika mahali huu mjadala tutaamua kwa kura kwa sababu nataka kuwa very democratic kwani nimepost hii mada kuomba ushauri na kuna ushauri mwingi mzuri umetolewa na GT na wengi wamekuwa neutral kutoa wazo la kusaidia. Mimi siyo control freak na wife anafanya kazi na safari ni nyingi na kuna freedom kubwa sana kwetu ila ktk ndoa inakuwa raha kila mtu anapochagua majukumu yake akayafanya na si kuachia upande mmoja. Mtu kusema hivyo haimaanishi ni control freak kwani lengo la jumla ni kuleta maendeleo ya familia . Kama upande mmoja hautawajibika sawasawa si rahisi kufikia malengo ya kifamilia.
 
Back
Top Bottom