Tathmini yangu ya maaandamano ya CHADEMA

Sema tu kuwa CDM imeshakufa kabisa
 
Wameshindwa kusoma alama za nyakati,hivi unadhani hawa machinga waliowapiga chini chadema hawa akili?
 
Pongezi sana mkuu,ni mungu tu amekupa mwanga wa kuweza kuona kuwa CDM haifai
 
Mzee Mbowe na Genge lake walitegemea wanyimwe kibali cha kufanya maandamano ,wamepewa kibali ambacho matarajio yao ni sifuri kabisa.
 
Hofu ya wananchi kuhusu kupigwa na polisi bado haijatoka, muda mrefu maandamano yalipigwa marufuku. Bado hali haijarejea. Na hata pia wananchi wameishakata tamaa na mambo ya siasa kutokana na sababu mbalimbali zikwemo za udhibiti, Samiah anajaribu kurejesha imani na uchangamfu wa kisiasa enzi za 2015, miaka ya hapo katikati wananchi waliuawa na kujeruhiwa mno kwenye maandamano, tusisahau. kwa sasa Rais anarejesha confidence ya wananchi Kwa kuanzia kidogokidogo, na iwapo siasa za kununua wapinzani, kuwatisha, uchaguzi halali na bunge lenye wapinzani wengi litarejea, Hali ya siasa shirikishi na changamfu yakiwemo maandamano itarejea tena, welldone kwa CDM na Samia kwa kuanzia, Hata hivyo Ujumbe wa maandano ulifika hilo ndilo lengo kuu. uwingi wa waandamanaji upimwe kwa uhalisia wa kisiasa miaka 5 iliyopita na kinachofanyika sasa na 4 R
 
CHADEMA wanatakiwa kuwa consistent na ajenda zao, walipiga kelele sana kuhusu uvunjwaji wa haki za watu kufanya mikutano ya kisiasa kinyume na katiba.

Mazuio yalipo ondolewa wakaanza kwa speed watu wakamasika hilo zoezi likafa.
Utaona baada ya hii hamasa ya maandamo kutakuwa kimya, mpaka waibuke na jambo lingine.

Operesheni kama za wakati ule wa Dr. Slaa zilifanikiwa sana hilo linakosekana nao.
 
Chadema kwisha habari yao.
Sababu hasa ya kususiwa maandamano ni wao kuungana na watesi wetu CCM.
Hawaaminiki, ni wahuni!
Wewe umeona, wahuni hawa wanatafuta option ya kurudi Dodoma(bungeni).. maisha matamu yale ya kula malaya wengi! Ndio akili zao wakiwa bungeni
 
Ninakubaliana na wewe sana. Hiyo ni factor moja ambayo kulikuwa na factorial significance ya kuingiza wabunge wengi na kuukosa Urais. Why don't you at all visualize Magu's dirty politics towards opposition parties being also a significant factor? Laiti demokrasia ktk uchaguzi ingekuwepo na kusiwe na ununuzi wa Wabunge na uchaguzi 2020, hilo unalolisema kuhusu Lowasa lisingehold water.
 
Hebu Erythrocyte njoo huku ujieleze😎
 
Kama lengo ni kufikisha ujumbe kwanini viongozi wasingeenda UN na gari moja tu.
Haki ya kikatiba unataka kuwapangia tena...... Pale UN hebu sema wanampelekea nani wakati ujumbe ni wa serikali...
 
Kama bado unashabikia CCM wewe ni wale majinga jinga
 
tatizo kubwa ni team Magufuli bado wengi wanachuki na Chadema hao ndio wengi walikuwa Chadema pia mwanzo
 
Haki ya kikatiba unataka kuwapangia tena...... Pale UN hebu sema wanampelekea nani wakati ujumbe ni wa serikali...
Wafuasi wa cdm wanadanganywa na fedhuli la kisiasa aisee ,eti mabadiliko ya katibu tumewasilisha ofisi za UN na walivyo majinga ikashangilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…