KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 880
- 327
Wakuu!
Hii ni tathmini niliyoifanya kwa mikoa iliyokuwa na hamasa kubwa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Karibuni muangalie hizi takwimu na mtoe maoni yenu, maoni yangu yatafuatia baadae.
Katika mikoa minne yani Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Mwanza
kura zilizopigwa ni 4,141,574 sawa na 26.56% ya kura zote
Arusha UKAWA imeizidi CCM kwa kura 308,209
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote na kushinda viti vya ubunge 5 CCM 1 (1 bado, AR Mjini)
Dar es Salaam UKAWA imeizidi CCM kwa kura 100,640
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote isipokuwa moja la Ilala na kushinda viti vya ubunge 6 CCM 4
Mbeya CCM imeizidi UKAWA kwa kura 69,189
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote isipokuwa Tunduma na Mbeya Mjini na kushinda viti vya ubunge 9 UKAWA 4
Mwanza CCM imeizidi UKAWA kwa kura 306,222
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote na kushinda viti vya ubunge 8 UKAWA 1
Hali hii inatoa picha gani katika matokeo ya jumla?
Hii ni tathmini niliyoifanya kwa mikoa iliyokuwa na hamasa kubwa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Karibuni muangalie hizi takwimu na mtoe maoni yenu, maoni yangu yatafuatia baadae.
Katika mikoa minne yani Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Mwanza
kura zilizopigwa ni 4,141,574 sawa na 26.56% ya kura zote
Arusha UKAWA imeizidi CCM kwa kura 308,209
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote na kushinda viti vya ubunge 5 CCM 1 (1 bado, AR Mjini)
Dar es Salaam UKAWA imeizidi CCM kwa kura 100,640
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote isipokuwa moja la Ilala na kushinda viti vya ubunge 6 CCM 4
Mbeya CCM imeizidi UKAWA kwa kura 69,189
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote isipokuwa Tunduma na Mbeya Mjini na kushinda viti vya ubunge 9 UKAWA 4
Mwanza CCM imeizidi UKAWA kwa kura 306,222
ikiwa imeongoza kwa kura katika majimbo yote na kushinda viti vya ubunge 8 UKAWA 1
Hali hii inatoa picha gani katika matokeo ya jumla?