Uchaguzi 2020 Tathmini ya Taarifa ya Habari ITV & TBC1

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
TATHMINI YA LEO;

Taarifa ya habari ITV & TBC1.

Nipo Kinondoni Mkwajuni nakunywa bia mahali hapa nilikuja kunywa bia hivi hivi Mwaka 2015, tofauti ya Mwaka huu 2020 watu wamemsikia Lissu wakasema bado Magufuli, Magufuli akaonyeshwa uko Nzega, watu wakasema Lissu anajisumbua asubiri 2025, Mwaka huu 2020 tunaenda kumpa kura Magufuli.

Kumbukumbu;
Mwaka 2015 kwenye bar hapa Kinondoni watu walimuangalia Edward Ngoyai Lowassa na baada ya Lowassa kila mtu alitawanyika na bar zilibaki tupu.

Nini Umegundua?

Rais John Pombe Magufuli tayari yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama alivyokuwa Edward Ngoyai Lowassa.
 
Lakini Lowassa alishindwa, amini hivo hivo huyo unayemwona kwenye mioyo ya watu 2015 kapigwa na 2020 magufuli hivohivo
 
Kumbe tunaongea na mlevi

Wewe unalewa unaleta uchambuzi wa kisiasa Tena kutoka kwa Wala chips kinondoni na watoto wanaolelewa wasiojua kutafuta pesa?

Watu tupo tunatikisa kanda ya Ziwa wewe unaleta mambo ya mkwajuni?

Siasa ya nchi hii uwezi kuichambua kirahisi hvyo.

Meko anaenda nyumbani chato tuendelee kuwepo.
 
Tatizo hiyo shati uliyovaa, watu watajificha hapo badala ya kutizama ukweli unaowaambia.
 
Wa CCM akipata 30% aishukuru miungu yake. ingawa anaweza kutangazwa mshindi na NEC yake of course!
 
Hata kwenye ndoa, siku Ile ya honeymoon ndiyo siku ya mhimu Kwa Mwanamke kumfanyia tathimini mumewe endapo atakuwa kaolewa na kidume kweli ama mwanaume suluali!

Siku ya Kwanza ya Kampeni Chadema, ilitosha kuonesha jinsi watakavyoshindwa vibaya, ni aheri wangeilijitoa siku hiyo, basi Acha wasubiri aibu yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom