mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
BRN ni ishu ambayo imeishia kubandikwa matangazo kwenye milango ya ofisi za wizara, vitengo, secretariat za mikoa na Halmashauri, mana ni porojo tu
BRN ni ishu ambayo imeishia kubandikwa matangazo kwenye milango ya ofisi za wizara, vitengo, secretariat za mikoa na Halmashauri, mana ni porojo tu
ndugu ya ngu nakubaliana na wewe kwa 100%,..then tatizo liko kwa watendaji wa serikali na sisi wananchi.
..mimi nimeona kama vile BRN ni mpango mzuri unaoweza kutusaidia.
..Malaysia wameshaujaribu na ukawapa matokeo mazuri.
..wa-Tz tunatakiwa tuangalie ni jinsi gani mpango huo unaweza kufanya kazi ktk mazingira yetu.
Pasco njoo tunakuhitaji kwenye huu uzi[/QUOTE
BRN ni wizi mwingine kama ilivyo Kilimo Kwanza, Mkukuta, Mkurabita, n.k.
Hata huwa nawashangaa wanaoitwa kutoka nje na kuja kujidhalilisha huku nchini kwa kufanyakazi na manyan'gau na wezi kama Serikali hii yetu. Hivi huwa hatufanyi tathmini ya miradi iliyopita ndipo tuanze mingine?
Ninachokiona ni ulaji wa pesa tu inayoelea, wajanja hutengeneza tafiti za kihuni na kumuuzia Mkuu wetu naye huidhinisha hiyo miradi akijua au akidhani itakuwa na tija kumbe ni wizi na ujanja ujanja tu wa kujichotea kodi za watanzania.
Oneni aibu nyie wasomi mnaotumika kuwadhulumu wananchi wenzenu kwa udanganyifu huu.
Angalieni wasomi kama akina Muhongo pasi na kujua au kwa kutegemea kuwa watakuja kuchukua ujiko wanakubali kurudi nyumbani na kutumika kama vile halafu wanadhalilishwa. Msururu ni mrefu akiwemo Tido Mhando, akina Balali - masikini sijui alikufa kweli au ndo kanyimwa uhuru wa kutanua kwenye kona fulani ya dunia hii.
Kwanini msomi ukubali kutumika kwa viongozi wa nchi hii wasio na vision wala dhamira ya kujijengea heshima vizazi na vizazi badala yake wanatafuta kujilimbikizia mali ya dhuluma ambayo hawataondoka nayo kwenda tuendako baada ya kufa.
..nimemsikiliza mtendaji mkuu wa BRN bwana Omari Issa.
..nakubaliana na mtizamo wake kuhusu utendaji ktk ngazi mbalimbali za serikali.
..nadhani tukiwa disciplined na kuipa muda BRN inaweza kutuletea matokeo mazuri.
..wasiwasi wangu ni kwamba tukikwama tutaanzisha kitu kingine kipya kufanya yaleyale tunayoyafanya ktk BRN.
..kama alivyosema Omari Issa: "be on time, no speech, do it, no exceptions."
..bonyeza hapo kwenye link kusikiliza interview yake.
EMT, Tokyo40, Kimweri, Kibona, Sangarara, msemakweli
..nimemsikiliza mtendaji mkuu wa BRN bwana Omari Issa.
..nakubaliana na mtizamo wake kuhusu utendaji ktk ngazi mbalimbali za serikali.
..nadhani tukiwa disciplined na kuipa muda BRN inaweza kutuletea matokeo mazuri.
..wasiwasi wangu ni kwamba tukikwama tutaanzisha kitu kingine kipya kufanya yaleyale tunayoyafanya ktk BRN.
..kama alivyosema Omari Issa: "be on time, no speech, do it, no exceptions."
..bonyeza hapo kwenye link kusikiliza interview yake.
EMT, Tokyo40, Kimweri, Kibona, Sangarara, msemakweli
BRN itaondoka na JK hata watu wa planning commission wapo confused wanwanashindwa kumface mkuu wamebaki kucompile report kutoka MDAs bila hata kuwa critical kwa vitu ambavyo vipo very obvious.unasema eetikiwango cha ufaulu kimepanda kweli?
Mi nafikiri kumaanisha (commitment) ndiyo suala la msingi ambalo tunakosa, being detailed comes next. Kama wangekuwa kweli wanamaanisha wangeona kuna uhitaji wa watu makini.Kuna tatizo kubwa sana kuhusu huu mpango mzima wa BRN
1. Wanadai BRN inaendana na Tanzania Development Vision 2025 lakini ukiisoma hiyo vison 2025 iko shallow, as a matter of fact walioandika hii vision 2025 walikuwa na upeo mdogo sana kama hiyo document yenyewe (hapa nazungumzia akina MWAPACHU na wezake)
2. Review ya TDV 2025 iliyofanyika 2010 ilikusanya watu wenye mitazamo finyu na mifupi na wakarudi kudai kuwa hiyo TDV 2025 iko VALID!!!!!!!
3. Long Term Perspective (LTP) nayo ukiisoma iko too vague kwa sababu ina endorse huo utumbo uliopo kwenye TDV na review yake
4. BRN haiwezi na haitoweza kuwa kama PEMANDU ya Malaysia kwa sababu wenzao walikuwa detailed na walikuwa transparent kwenye kufanya mambo yao hawa BRN sioni kitu hata hiyo the so called LAB METHODOLOGY waliyotaka kuiiga imekwama.
Nategemea wengine watachangia lakini kwangu naona tunapotezeana muda tuu
Baada ya kuiangamiza ttcl kaliangamiza taifa na brn!OMARI ISSA probably anajiuliza how did he find himself in this mess