ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Omari Issa haamini aliyoyakuta na kuyaona Serikalini. Umuuliza kama kuna watu wasio na vichwa/ubongo atajibu bila hofu NDIYO. Na atakueleza kuwa watu hao sio wa ajabu amefanya nao kazi na mikutano kila wakati. Uzuri ni kwamba Wanavaa suti nzuri za bei mbaya na kupanda magari ya bei mbaya.
Those are legit questions. And you would expect Watu Kama hao wenye exposure wangetusaidia kujenga mising ya accountability. Again unaona Watu hapa wanakuja na kusingizia system. Now you wonder hiyo system ina Watu gani..zaidi ya hawa hawa.....
hopefully na yeye anapita humu...