Tathimini: Wamefanikiwa kutisha na kudhibiti Vyombo vya Habari kwa asilimia kubwa ila pia wameshindwa kudhibiti habari kwa asilimia kubwa zaidi

Uzi wako hauna mtiririko mzuri wa mawazo, haieleweki unazungumzia nini.
Anawasalimu mataga
IMG_20210305_123804.jpeg
 
Mkuu twambie ndege inarudi lini kumrejesha Amiri Jeshi mkuu kutoka India au Nairobi?
 
Uzi wako hauna mtiririko mzuri wa mawazo, haieleweki unazungumzia nini.
Uzi unaeleweka lakini ukiwa lumumba kijana wa buku 7 lazima ujitoe ufahamu ili uweze kuSurvive.Vinginevyo mkono hauendi kinywani!
 
Nimelielewa bandiko vizuri sana ila kinachosikitisha ni ongezeko la Wadau wenye IQ hafifu kuwa kama magugu Maji na kutishia Ile flow ya great free thinkers wa jf sijui haya magugu yametokea wapi? au Chama twawala kimekuja na mbinu mpya kuoverwhelm great thinker with IQ hafifus
Kila jambo linawezekana kwenye siasa zetu za kiafrika za kusaka ugali zaidi kuliko kuwaletea maendeleo watu wake
 
What a load load of rubbish! These are scurrilous insinuations, halftruths, completely devoid of merit. Unaowaita "Vyombo vya Habari" ni watu sawa na wewe au mimi, Watanzania wenzetu, wengi wao ex-TANU Youth League, yaani ni sawa tu na Maaskofu. Usishangae ukiona wanachagua mchele wanaacha chuya. Hivi kweli Mtanzania kawaida, awe ni Askofu au Editor wa Daily News au Majira, atakubali atumike kumsaidia tundulissu au fatmakarume kusambaza matusi yao? Au aombe madhabahuni? Subutu!

If the Press don't report the dirt and scum ya Mabeberu na vikaragosi vyao wale wanaotusaliti, ni uzalendo si woga. Mbowe aliwatukana TBC hazalani siku ile, akawafokea akawafukuza Uwanja wa Taifa, unakumbuka? Kesho yake Vyombo vyako vya habari, VYOTE (kupitia Jukwaa la Wahariri), wakaja juu, vikagoma, walimwita wakamuonya, kesho yake (akiwa Mbeya na Sugu kama sikosei) ikabidi ang'ate matapishi yake in pubric. Uliona kura za Sugu?

Hayo ndiyo mazao ya mgombeaxwenu tundulissu, elewa kuwa people arevtotall6 fed up, y amewafikavhapa. Umemsikia tundulissu anamuombea kifo rais? Walishindwa kura vibaya, ndiyo maana huwasikii wakilalama, au kwenda mahakamani. They knew ut! They expected it. Dr Slaa got 40% bila matusi wala majigambo ya Amsterdam? TANU Youth League iko hadi Kipalapala na Makumira mpaka leo hii.

Wacha habari hizi ni ngojera za watoto hazina mshiko.
Mitano tena
 
Nchi ambayo zaidi ya 90% ya vyombo vya habari vinamilikiwa na watu binafsi, Mashirika na Taasisi, ni upotoshaji kusema habari zinafichwa. Isitoshe Tanzania hakuna "lockdown" hivyo taarifa zinasambazwa haraka.

Ulikoegemea kulishindwa uchaguzi mkuu na kadri mnavyoshabikia udaku ndivyo jamii inavyowatambua na kuwatenga
 
Nchi ambayo zaidi ya 90% ya vyombo vya habari vinamilikiwa na watu binafsi, Mashirika na Taasisi, ni upotoshaji kusema habari zinafichwa. Isitoshe Tanzania hakuna "lockdown" hivyo taarifa zinasambazwa haraka.

Ulikoegemea kulishindwa uchaguzi mkuu na kadri mnavyoshabikia udaku ndivyo jamii inavyowatambua na kuwatenga
Wadanganye wajinga
 
Back
Top Bottom