Kibibi kimoja kizee kilisikia malaika wa kutoa roho watu atawatoa roho vizee vyote, haraka akaenda kuchukua cerelac akawa anakula, ghafla yule malaika akatokea akamuuliza unafanya nini? kile kibibi kikajifanya mtoto kikasema: "nakula mam" malaika akamwambia fanya haraka basi twende tataaaaaa.