taswira ya jk
namwona jk :
namwona dr slaa:
namwona jk :
- anamwagiza shimbo awatishe wananchi
- anamtumia sheikh yahya kutabiri ushindi wake
- synovate na redet anawalazimisha kumpikia kura za maoni
- anavunja sheria ya uchaguzi na ile ya gharama za uchaguzi
- anatoa ahadi akisahau hajatekeleza alizoahidi kwenye uchaguzi uliopita
- anashindwa kutambua kuwa watu wote kwenye kampeni zake wanaletwa kwa malori na kuvutiwa na wasnii na sio sera zake
- anashindwa kutambua kuwa watz si mabwege tena,na wanataka mabadiliko
namwona dr slaa:
- anajaribu kuwajengea fikra za kizalendo wananchi
- anaguswa na maisha duni ya watz na kuwaahidi mabadiliko
- anaondoa fikra mgando za siasa za maji taka ambazo ndizo silaha ya chama kizee
- anaonyesha kiongozi si kuuza sura kama kujipenyeza kwenye matamasha mbalimbali bali ni ubunifu na umakini