Elections 2010 Taswira za viongozi wetu kuelekea uchaguzi mkuu

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
taswira ya jk
namwona jk :
  • anamwagiza shimbo awatishe wananchi
  • anamtumia sheikh yahya kutabiri ushindi wake
  • synovate na redet anawalazimisha kumpikia kura za maoni
  • anavunja sheria ya uchaguzi na ile ya gharama za uchaguzi
  • anatoa ahadi akisahau hajatekeleza alizoahidi kwenye uchaguzi uliopita
  • anashindwa kutambua kuwa watu wote kwenye kampeni zake wanaletwa kwa malori na kuvutiwa na wasnii na sio sera zake
  • anashindwa kutambua kuwa watz si mabwege tena,na wanataka mabadiliko
dr slaa
namwona dr slaa:
  • anajaribu kuwajengea fikra za kizalendo wananchi
  • anaguswa na maisha duni ya watz na kuwaahidi mabadiliko
  • anaondoa fikra mgando za siasa za maji taka ambazo ndizo silaha ya chama kizee
  • anaonyesha kiongozi si kuuza sura kama kujipenyeza kwenye matamasha mbalimbali bali ni ubunifu na umakini
 
Huyu Jk tunaachana naye hivi karibuni:-

taswira ya jk
namwona jk :
  • anamwagiza shimbo awatishe wananchi
  • anamtumia sheikh yahya kutabiri ushindi wake
  • synovate na redet anawalazimisha kumpikia kura za maoni
  • anavunja sheria ya uchaguzi na ile ya gharama za uchaguzi
  • anatoa ahadi akisahau hajatekeleza alizoahidi kwenye uchaguzi uliopita
  • anashindwa kutambua kuwa watu wote kwenye kampeni zake wanaletwa kwa malori na kuvutiwa na wasnii na sio sera zake
  • anashindwa kutambua kuwa watz si mabwege tena,na wanataka mabadiliko
 
Back
Top Bottom