Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Mabinti zetu hawawi inspired tena na shangazi zao.
Mabinti zetu tena hawawi inspired na waalimu wao wa kike maaashuleni.
Ila kwa sasa inspiration na influence zao zinatoka kwenye social networks na media.
Ile aina ya mwanamke tulieizoea na kuiona kwa mama zetu kwa sasa inadharaulika na kuonekana ya kiboya.
Umalaya umekuwa branded, kukaa nusu uchi kumekuwa normalized, lifestyle ya ufuska na kudatisha wanaume kama njia ya kufikia mafanikio imekuwa prioritized.
Na sisi wanaume tunaendelea ku-glorify yale tunayaona kwa mabinti hawa alafu ukishaoa ukikutana nayo ambayo haukutarajia unarudi hapa JF kulalamikia kuhusu wanawake.
Sasa hivi kila binti ana aspire kuwa a professional ho. Makalio yamekuwa fashion na nusu uchi imekuwa heshima.
Mabinti wamejawa viburi na dharau. Mabinti sasa have nothing to lose kwa maana hauwez mbabaisha coz anajijua yeye ni mrembo na slay.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Mabinti zetu tena hawawi inspired na waalimu wao wa kike maaashuleni.
Ila kwa sasa inspiration na influence zao zinatoka kwenye social networks na media.
Ile aina ya mwanamke tulieizoea na kuiona kwa mama zetu kwa sasa inadharaulika na kuonekana ya kiboya.
Umalaya umekuwa branded, kukaa nusu uchi kumekuwa normalized, lifestyle ya ufuska na kudatisha wanaume kama njia ya kufikia mafanikio imekuwa prioritized.
Na sisi wanaume tunaendelea ku-glorify yale tunayaona kwa mabinti hawa alafu ukishaoa ukikutana nayo ambayo haukutarajia unarudi hapa JF kulalamikia kuhusu wanawake.
Sasa hivi kila binti ana aspire kuwa a professional ho. Makalio yamekuwa fashion na nusu uchi imekuwa heshima.
Mabinti wamejawa viburi na dharau. Mabinti sasa have nothing to lose kwa maana hauwez mbabaisha coz anajijua yeye ni mrembo na slay.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app