Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
haponi mtu hapo neno limejidhihirisha...........serikali ijiandae kuumbuka. Kenya itawaita watuhumiwa iongee nao kwa kilugha chao waeleze ukweli woote kisha kenya watoe tamko.....kuwa wahusika wakuu ni serikali ya JK
Ikiwa hivyo serikali ya magamba itaumbuka kilaini na mapema sana!