Tarehe alizoteswa Ulimboka, Mambo ya Kova na Mistari ya Biblia inavyosema (26:6:12) (27/6/'12)

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,732
Ukisoma Kitabu cha Ayubu sura 26 : 6 mstari huu unasema hivi......



"Mauti iko wazi mbele za Mungu,
uharibifu haukufunikwa"

Then ukisoma Kitabu hichohicho cha Ayubu 27 : 12 mstari unasema hivi....

"Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?"

Mstari wa 26 :6 ulitumiwa na mtesaji wa Dr. Ulimboka kwa kuhalalisha kitendo chake cha kuumiza wengine kwa kuwa mauti iko wazi mbele za Mungu.

Mstari wa 27 : 12 ndo kelele tunazopigiana ya kumtafuta muuaji au mtesaji wakati Mungu ameshatuwekea wazi.....serikali inaona utata.


Tukiingia Zaburi 26 : 6 inasema " Nitanawa mikono yangu kwa kutokuwa na hatia, na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA"

Mstari hapo juu umetumiwa leo na Gwajima kuuthibitishia umma kuwa serikali wazushi wasilitumie kanisa lake kuhalalisha au kukwepesha maovu yake.

Ukisoma zaburi 27 : 6 inasema " Na sasa kichwa changu kitainuka juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake;Nitaimba, naam, nitamhimidi BWANA"

Maneno haya kwa sasa anayataumia Dr Ulimboka maana adui zake wote wako wanaparanganyika kwa kujichanganya na anamalizia kwa mstari wa 12 zaburi ya 27 inasema " Usinitie katika nia ya watesi wangu; maana mashahidi wa uongo wameniondokea, Nao watoao jeuri kama pumzi"

Maneno haya bado yanasemwa na Ulimboka na wahanga wengine waliopona katika udhalimu wa serikali ya Jakaya Kikwete. Hakika baba rizone wa maajabu yeye yuko nje ya nchi anakula baga na kubembea wasaidizi wake hapa wanaharibu na kuiaibisha nchi.

Mungu alivyokuwa mkuu serikali ya Kenya imesema haiwezi kukubali udhalilishwaji katika mataifa mengine kwa wananchi wake kuja kufanya uhalifu nchi jirani wako wanafuatilia na watatoa tamko muda si mrefu.

Ukisoma mithali 26 : 6 inasema " Apelekaye ujumbe kwa mkono wa upumbavu, hujikata miguu na kunywa hasara" hii ni ile ya bwana yule aliyempigia simu Ulimboka na kuwaita wale wauaji akidhani kuwa hawataonana tena kumbe mtu hajafa.

Mithali hiyohiyo ya 26 : 12 inasuliza hivi " Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadahli kumtumaini mpumbavu kuliko yeye"

Yaani kwa watu wenye kufuatilia ukifuatilia mistari hiyo ya 26 na 27 ambazo ni tarehe za mateso ya Ulimboka na Mistari na mistari ya 6 na 12 ambayo ni mwezi na mwaka utaona maajabu ya kinachoendelea. Mfano tukiangalia mithali 27 : 6 unasema " Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; bali kubusu kwa adui ni kwingi sana" pia mstari wa 12 unasema " Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha bali wajinga huendelea mbele wakaumia"

Yaani maneno yote yanaonesha nani mjinga na ni kwanini wasinyamaze. Kubusu kwingi kwa adui ni hizo jitihada za akina Kova kujifanya wanafuatilia suala la Ulimboka wakati wahusika ni wao wenyewe. Serikali wajinga wanasonga mbele na wataumia.

Huu ndio mtazamo wangu wa tarehe husika na matukio yaliyotokea.
 
Ukisoma Kitabu cha Ayubu sura 26 : 6 mstari huu unasema hivi......



"Mauti iko wazi mbele za Mungu,
uharibifu haukufunikwa"

Then ukisoma Kitabu hichohicho cha Ayubu 27 : 12 mstari unasema hivi....

"Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?"

Mstari wa 26 :6 ulitumiwa na mtesaji wa Dr. Ulimboka kwa kuhalalisha kitendo chake cha kuumiza wengine kwa kuwa mauti iko wazi mbele za Mungu.

Mstari wa 27 : 12 ndo kelele tunazopigiana ya kumtafuta muuaji au mtesaji wakati Mungu ameshatuwekea wazi.....serikali inaona utata.


Tukiingia Zaburi 26 : 6 inasema " Nitanawa mikono yangu kwa kutokuwa na hatia, na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA"

Mstari hapo juu umetumiwa leo na Gwajima kuuthibitishia umma kuwa serikali wazushi wasilitumie kanisa lake kuhalalisha au kukwepesha maovu yake.

Ukisoma zaburi 27 : 6 inasema " Na sasa kichwa changu kitainuka juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake;Nitaimba, naam, nitamhimidi BWANA"

Maneno haya kwa sasa anayataumia Dr Ulimboka maana adui zake wote wako wanaparanganyika kwa kujichanganya na anamalizia kwa mstari wa 12 zaburi ya 27 inasema " Usinitie katika nia ya watesi wangu; maana mashahidi wa uongo wameniondokea, Nao watoao jeuri kama pumzi"

Maneno haya bado yanasemwa na Ulimboka na wahanga wengine waliopona katika udhalimu wa serikali ya Jakaya Kikwete. Hakika baba rizone wa maajabu yeye yuko nje ya nchi anakula baga na kubembea wasaidizi wake hapa wanaharibu na kuiaibisha nchi.

Mungu alivyokuwa mkuu serikali ya Kenya imesema haiwezi kukubali udhalilishwaji katika mataifa mengine kwa wananchi wake kuja kufanya uhalifu nchi jirani wako wanafuatilia na watatoa tamko muda si mrefu.

Ukisoma mithali 26 : 6 inasema " Apelekaye ujumbe kwa mkono wa upumbavu, hujikata miguu na kunywa hasara" hii ni ile ya bwana yule aliyempigia simu Ulimboka na kuwaita wale wauaji akidhani kuwa hawataonana tena kumbe mtu hajafa.

Mithali hiyohiyo ya 26 : 12 inasuliza hivi " Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadahli kumtumaini mpumbavu kuliko yeye"

Yaani kwa watu wenye kufuatilia ukifuatilia mistari hiyo ya 26 na 27 ambazo ni tarehe za mateso ya Ulimboka na Mistari na mistari ya 6 na 12 ambayo ni mwezi na mwaka utaona maajabu ya kinachoendelea. Mfano tukiangalia mithali 27 : 6 unasema " Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; bali kubusu kwa adui ni kwingi sana" pia mstari wa 12 unasema " Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha bali wajinga huendelea mbele wakaumia"

Yaani maneno yote yanaonesha nani mjinga na ni kwanini wasinyamaze. Kubusu kwingi kwa adui ni hizo jitihada za akina Kova kujifanya wanafuatilia suala la Ulimboka wakati wahusika ni wao wenyewe. Serikali wajinga wanasonga mbele na wataumia.

Huu ndio mtazamo wangu wa tarehe husika na matukio yaliyotokea.

mulemule
 
Nilisikia kwa baadhi ya wanyakyusa kuwa jina ulimboka lina maana ya mtu ambaye hawezi kuachwa na Mungu. Wenye ufahamu zaidi naomba watujuze, hasa wanyakyusa!
 
haponi mtu hapo neno limejidhihirisha...........serikali ijiandae kuumbuka. Kenya itawaita watuhumiwa iongee nao kwa kilugha chao waeleze ukweli woote kisha kenya watoe tamko.....kuwa wahusika wakuu ni serikali ya JK
 
ndio maana MUNGU hakumwacha masaa yote alipigwa na wale wauwaji tena sio mkenya ni watanzania wenzake km angekuwa mkenya Dr angejua matamshi yao maana kiswahili chao kinajulikana bana
 
Back
Top Bottom