Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,566
- 11,808
Kwa wale wapenda mabadiliko siku ya tarehe 7 ya mwezi huu tutakuwa katika jimbo la kibamba kumnadi mgombea wetu wa urais bwana Edward Lowassa na mgombea ubunge jimbo hilo bwana John Mnyika, baadaye tutaelekea bunju, panga ratiba yako vizuri ili siku hiyo tuwe pamoja maeneo hayo pamoja na muasisi wa mabadiliko bwana EL.
Ahsanteni!
Ahsanteni!