Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Tulinyanyaswa kiasi cha kutosha,tulitawaliwa kiasi cha kutosha,tulionewa kiasi cha kutosha,tulinyonywa kiasi cha kutosha na tulidhalilishwa kiasi cha kutosha na wakoloni.Tumenyonywa kiasi cha kutosha,tumepuuzwa kiasi cha kutosha,tumeibiwa kiasi cha kutosha,tumedhalilishwa kiasi cha kutosha na tumetawaliwa kiasi cha kutosha na CCM PAMOJA MAFISADI.UKOMBOZI UMO MIKUNONI MWETU TAREHE 31 OCTOBER TUSIKUBALI KUDANGANYIKA.Baada ya kupata uhuru namshauri Rais Dr.Slaa kuitangaza siku 31 october kua sikukuu ya kitaifa na kuadhimishwa kila mwaka MUNGU IBARIKI TANZANIA