Tarehe 31 october watanzania kupata uhuru

Jan 16, 2007
721
176
Tulinyanyaswa kiasi cha kutosha,tulitawaliwa kiasi cha kutosha,tulionewa kiasi cha kutosha,tulinyonywa kiasi cha kutosha na tulidhalilishwa kiasi cha kutosha na wakoloni.Tumenyonywa kiasi cha kutosha,tumepuuzwa kiasi cha kutosha,tumeibiwa kiasi cha kutosha,tumedhalilishwa kiasi cha kutosha na tumetawaliwa kiasi cha kutosha na CCM PAMOJA MAFISADI.UKOMBOZI UMO MIKUNONI MWETU TAREHE 31 OCTOBER TUSIKUBALI KUDANGANYIKA.Baada ya kupata uhuru namshauri Rais Dr.Slaa kuitangaza siku 31 october kua sikukuu ya kitaifa na kuadhimishwa kila mwaka MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Itakuwa siku ya uhuru endapo kila mtu atakuwa makini kuanzia wapiga kura, wasimamizi na mawakala ili kura zisichezewe la sivyo tutashangaa jamaa wanashinda kwa kishindo!
 
Tulinyanyaswa kiasi cha kutosha,tulitawaliwa kiasi cha kutosha,tulionewa kiasi cha kutosha,tulinyonywa kiasi cha kutosha na tulidhalilishwa kiasi cha kutosha na wakoloni.Tumenyonywa kiasi cha kutosha,tumepuuzwa kiasi cha kutosha,tumeibiwa kiasi cha kutosha,tumedhalilishwa kiasi cha kutosha na tumetawaliwa kiasi cha kutosha na CCM PAMOJA MAFISADI.UKOMBOZI UMO MIKUNONI MWETU TAREHE 31 OCTOBER TUSIKUBALI KUDANGANYIKA.Baada ya kupata uhuru namshauri Rais Dr.Slaa kuitangaza siku 31 october kua sikukuu ya kitaifa na kuadhimishwa kila mwaka MUNGU IBARIKI TANZANIA

Una uhakika wewe ni advocate na siyo messenger wa advocate wanaokwenda kutoa taarifa kwa hakimu kuwa advocate hakuweza kufika mahakamani? :becky:

Urais hauendi Kaskazini tena. Ulikuwa huko, ukaenda visiwani, baadaye ukaenda Kusini, na sasa hivi uko hapa Katikati. Ukitoka hapa unaelekea Magharibi kule sehemu za Tabora na Kigoma. Ukitoka huko Urais unaelekea Kagera. :becky:
 
Uhuru wa nchi hii hautopatikana kwa kupiga kura kwani CCM ina kila mbinu.
Mgombea wao anaweza akashindwa na still yeye ndio akatangazwa mshindi(Kumbuka ya Kibaki, Kenya)
Ndio maana wengine wanathubutu kueleza tred ya urais itakavyokuwa miaka ijayo kuwa umetoka kaskazini, sasa upo kati kisha utaenda Kigoma. nk.
Uhuru utapatikana pale watanzania watakapoamua kwa dhati kuwa sasa hatutaki kuwa watumwa. hapo kura hazitotumika tena.
 
Tulinyanyaswa kiasi cha kutosha,tulitawaliwa kiasi cha kutosha,tulionewa kiasi cha kutosha,tulinyonywa kiasi cha kutosha na tulidhalilishwa kiasi cha kutosha na wakoloni.Tumenyonywa kiasi cha kutosha,tumepuuzwa kiasi cha kutosha,tumeibiwa kiasi cha kutosha,tumedhalilishwa kiasi cha kutosha na tumetawaliwa kiasi cha kutosha na CCM PAMOJA MAFISADI.UKOMBOZI UMO MIKUNONI MWETU TAREHE 31 OCTOBER TUSIKUBALI KUDANGANYIKA.Baada ya kupata uhuru namshauri Rais Dr.Slaa kuitangaza siku 31 october kua sikukuu ya kitaifa na kuadhimishwa kila mwaka MUNGU IBARIKI TANZANIA
andaa machozi kaka, kwani ukweli unaujua ila hutaki kuukubali.
mimi wala sijidanganyi. CCM itashinda kwa kishindo na wazee wa kujidanganya huenda mkaamua kuacha kushabikia siasa kabisaaaa.
Nasikika kama shabiki wa CCM kumbe walaaaaa. nasimamia ukweli tuuuuuuu
 
Itakuwa siku ya uhuru endapo kila mtu atakuwa makini kuanzia wapiga kura, wasimamizi na mawakala ili kura zisichezewe la sivyo tutashangaa jamaa wanashinda kwa kishindo!

Hili nalo ni neno muafaka.
 
Una uhakika wewe ni advocate na siyo messenger wa advocate wanaokwenda kutoa taarifa kwa hakimu kuwa advocate hakuweza kufika mahakamani? :becky:

Urais hauendi Kaskazini tena. Ulikuwa huko, ukaenda visiwani, baadaye ukaenda Kusini, na sasa hivi uko hapa Katikati. Ukitoka hapa unaelekea Magharibi kule sehemu za Tabora na Kigoma. Ukitoka huko Urais unaelekea Kagera. :becky:
Kudadadeki...walahi....Hii schedule nani aliiacha? Nataka nione kwetu itakuwa lini!
 
andaa machozi kaka, kwani ukweli unaujua ila hutaki kuukubali.
mimi wala sijidanganyi. CCM itashinda kwa kishindo na wazee wa kujidanganya huenda mkaamua kuacha kushabikia siasa kabisaaaa.
Nasikika kama shabiki wa CCM kumbe walaaaaa. nasimamia ukweli tuuuuuuu

You have a point. Inabidi wafanyie kazi huu ushauri hasa kwa kuwa bado wana siku kadhaa kabla ya uchaguzi.
 
Itakuwa siku kama tusikiavyo ya wana wa islael walipokuwa safarini kuelekea nchi ya Kanani, Jeshi la farao lilivyo zama kwenye bahari ya sham wakati wakifuatilia kuwaangamiza! Siku hiyo si nyinine bali ni 31/10/2010.
 
Mi naamini bado tuna nafasi ya kubadili viongozi kwa kura. Hayo yasubiri kwanza.
 
Una uhakika wewe ni advocate na siyo messenger wa advocate wanaokwenda kutoa taarifa kwa hakimu kuwa advocate hakuweza kufika mahakamani? :becky:

Urais hauendi Kaskazini tena. Ulikuwa huko, ukaenda visiwani, baadaye ukaenda Kusini, na sasa hivi uko hapa Katikati. Ukitoka hapa unaelekea Magharibi kule sehemu za Tabora na Kigoma. Ukitoka huko Urais unaelekea Kagera. :becky:
..........Magharibi umesahau Rukwa na Katavi! :becky: :becky:
 
Back
Top Bottom