demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kama kawaida.
Nabii Demigod niko Mjengoni na Swali jingine.
Ratiba LigiKuu Congo yaani LinaFoot imetoka leo. Inaonyesha kuwa TP Mazembe wanamchezo wa Ligi katika siku hiyo.? Je Simba wanacheza na TP Mazembe ipi? Kwanini Viongozi wa Simba wanapenda kuwa hadaa sana mashabiki wa Simba?
Maana hapo mwanzo walidokeza kuwa wanaleta Timu kubwa kwenye Tamasha, ghafla bin Vuu wakatu-Suprise na TP Mazembe. Hakuna shabiki wa simba aliye amini huu mwaliko, ila inabidi tu kukubaiana na uamuzi kwakuwa thamani ya hisa za Wanachama hazija zidi zile za Muhindi ambazo hata nazo pia hazija fika kwenye akaunti rasmi ya klabu.
Je TP Mazembe ina kikosi kipana cha kutosha hata kuleta wachezaji wa ziada Dar?
Hiki ni kitendawili ambacho Simba imewaachia mashabiki.
(Ninafuatilia zaidi, nitarudi na taarifa rasmi_)
Nabii Demigod niko Mjengoni na Swali jingine.
Ratiba LigiKuu Congo yaani LinaFoot imetoka leo. Inaonyesha kuwa TP Mazembe wanamchezo wa Ligi katika siku hiyo.? Je Simba wanacheza na TP Mazembe ipi? Kwanini Viongozi wa Simba wanapenda kuwa hadaa sana mashabiki wa Simba?
Maana hapo mwanzo walidokeza kuwa wanaleta Timu kubwa kwenye Tamasha, ghafla bin Vuu wakatu-Suprise na TP Mazembe. Hakuna shabiki wa simba aliye amini huu mwaliko, ila inabidi tu kukubaiana na uamuzi kwakuwa thamani ya hisa za Wanachama hazija zidi zile za Muhindi ambazo hata nazo pia hazija fika kwenye akaunti rasmi ya klabu.
Je TP Mazembe ina kikosi kipana cha kutosha hata kuleta wachezaji wa ziada Dar?
Hiki ni kitendawili ambacho Simba imewaachia mashabiki.
(Ninafuatilia zaidi, nitarudi na taarifa rasmi_)