nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Simba walibaki na option 4 kuuu ,Horoya, mamelodi, al hilal, al ahly nTp mazembe
Baada ya hao jamaa wa congo(MABINGWA MARA TANO AFRICA) kutangazwa kumezuka maneno ya MAMA J FC kwamba mazembe siyo kitu yaani zanaco ya KAPUMBU ni kali kuliko hao jamaa yakazuka mengine kamba tarehe 19 wana mechi ya ligi hukokwao
Jamani Barbra siyo Senzo aliyeshindwa kuandaa kambi Morocco hata kupata International transfers za wachezaji,simba iko makini sana halafu mazembe wako nafsi ya 7 kwa ubora africa ,zanaco ya 30,simba ya 14 mliepelekeshwa na zanaco mkachanganyikiwa sana sisi hata team numero uno ya africa walituogopa wakidhani sisi ni majini
HAPO SITAKI MANGESE YALIYOKO NAMBA 74 NYUMA YA NAMUNGO ILIYOKO NAMBA 60
HAPA CHINI NI RATIBA YA LIGI YA CONGO, TAREHE 19 MAZEMBE WANAKUJA KAMILI HADI MFAGIAJI WAO ANAKUJA
Wale wanaosema Simba day hatokuwa kisa TP MAZEMBE watakuwa na mchezo. Ni uongo hii hapa ndo calendar ya ligi ya Congo. Tafuta tarehe 19 hapo. MAZEMBE ina match tarehe 15 na tatehe 03.
Baada ya hao jamaa wa congo(MABINGWA MARA TANO AFRICA) kutangazwa kumezuka maneno ya MAMA J FC kwamba mazembe siyo kitu yaani zanaco ya KAPUMBU ni kali kuliko hao jamaa yakazuka mengine kamba tarehe 19 wana mechi ya ligi hukokwao
Jamani Barbra siyo Senzo aliyeshindwa kuandaa kambi Morocco hata kupata International transfers za wachezaji,simba iko makini sana halafu mazembe wako nafsi ya 7 kwa ubora africa ,zanaco ya 30,simba ya 14 mliepelekeshwa na zanaco mkachanganyikiwa sana sisi hata team numero uno ya africa walituogopa wakidhani sisi ni majini
HAPO SITAKI MANGESE YALIYOKO NAMBA 74 NYUMA YA NAMUNGO ILIYOKO NAMBA 60
HAPA CHINI NI RATIBA YA LIGI YA CONGO, TAREHE 19 MAZEMBE WANAKUJA KAMILI HADI MFAGIAJI WAO ANAKUJA
Wale wanaosema Simba day hatokuwa kisa TP MAZEMBE watakuwa na mchezo. Ni uongo hii hapa ndo calendar ya ligi ya Congo. Tafuta tarehe 19 hapo. MAZEMBE ina match tarehe 15 na tatehe 03.