verses fountain
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 155
- 191
Habari jf members..naomba msaada wenu kwenye process jinsi ya kupata passport na gharama zake mwanzo mwisho mpaka kuipata.. Asanten
Sijaanza kabisa ndo nimeamua kuperuzi mtandaoni na kuja humu jf kuuliza..Hatua zipi za awali ambazo umefanya wewe kabla ya kuomba msaada humu?
Kwani wanaohusika na utoaji wa Passport ni watu gani?Sijaanza kabisa ndo nimeamua kuperuzi mtandaoni na kuja humu jf kuuliza..
endelea tu kuperuzi mtandaoni utaipataSijaanza kabisa ndo nimeamua kuperuzi mtandaoni na kuja humu jf kuuliza..
Sawa Dr shikaendelea tu kuperuzi mtandaoni utaipata
Mahitaji;Habari jf members..naomba msaada wenu kwenye process jinsi ya kupata passport na gharama zake mwanzo mwisho mpaka kuipata.. Asanten
Asante mkuu.be blessedMahitaji;
1. Kitambulisho cha taifa
2. Barua ya mwajiri/
3. Leseni ya biashara kama umejiri/kampuni
4. Andika/andikiwa barua ya maombi ukieleza sababu za safari zako/nchi utakazozitembelea
Maombi ya awali yanaanzia kwenye tovuti ya uhamiaji na utalipia 20k
Jumla ya gharama ni 150k
wengine waongezee
karibu, kwasasa kuipata pasi ya kusafiria kuna kazi pevu sana, mimi nilikuwa nina renew cha moto nilikionaAsante mkuu.be blessed
Hivi ndo yule ulikuwa unauza EA na Indicators watu wakakujia juu??endelea tu kuperuzi mtandaoni utaipata
Duh pole sana..Mimi ninahitaj lakini sasa nmeona nipate Wenye idea na mchakato mzima. Kurenew ni process zaid kuliko kupata Mpya?karibu, kwasasa kuipata pasi ya kusafiria kuna kazi pevu sana, mimi nilikuwa nina renew cha moto nilikiona
sawa na kuomba mpyaDuh pole sana..Mimi ninahitaj lakini sasa nmeona nipate Wenye idea na mchakato mzima. Kurenew ni process zaid kuliko kupata Mpya?
MZEE BABA EBU NIPE RIPOTI MANAKE NA MIMI NATA KURENEW NAONA MAWENGE MZEE BABAkaribu, kwasasa kuipata pasi ya kusafiria kuna kazi pevu sana, mimi nilikuwa nina renew cha moto nilikiona
mzee baba hakikisha una kitambulisho cha taifa kwanza ndipo ufuate hayo maelekezo hapo juuMZEE BABA EBU NIPE RIPOTI MANAKE NA MIMI NATA KURENEW NAONA MAWENGE MZEE BABA
So hizi ID zingine watasumbua sana au?mzee baba hakikisha una kitambulisho cha taifa kwanza ndipo ufuate hayo maelekezo hapo juu
Kama sisafiri sistahili kua na passport??Unatakiwa kuingia mtandao wa uhamiaji, www.immigration.go.tz/ppt_application jaza fomu hapo kisha lipia elfu 20 ndio fomu itadownlodika.
Ukipata fomu, chukua cheti chako cha kuzaliwa, cheti cha kuzaliwa cha mmoja wa wazazi au kiapo cha mzazi cha kuzaliwa, kitambulisho cha taifa, barua ya maombi ya pasipoti na mwisho ni uthibitisho wa safar. Kumbuka kuwa pasipoti ni haki ya kila mtu ila vigezo vya kuipata ni viwili tu, uwe raia waa Tanzania na unahitaji kusafiri nje ya nchi, vigezo vinathibitishwa kwa nyaraka ulizotajiwa hapo juu. C&P toka Facebook.com/uhamiajitanzania