ASANTE kwa MAELEZO ya kueleweka.Utaratibu ni kujaza form mtandaoni na ku upload picha yako. Then unaprint hyo filled form then unalipia 20 elf. Baada ya hapo unapeleka hyo form ukiambatanisha na kopi ya nida ID au namba , cheti cha kuzaliwa, cheti cha mzazi...
Unapata interview kama ukipita then unalipa 130000 pale pale ndani.
Unapeleka risiti unaweka finger print na kupigwa picha then unasubiri pass.
Kuepuka usumbufu ukiwa tayari nitafute nkusaidie hatua kwa hatua
Utaratibu ni kujaza form mtandaoni na ku upload picha yako. Then unaprint hyo filled form then unalipia 20 elf. Baada ya hapo unapeleka hyo form ukiambatanisha na kopi ya nida ID au namba , cheti cha kuzaliwa, cheti cha mzazi...
Unapata interview kama ukipita then unalipa 130000 pale pale ndani.
Unapeleka risiti unaweka finger print na kupigwa picha then unasubiri pass.
Kuepuka usumbufu ukiwa tayari nitafute nkusaidie hatua kwa hatua
Ndio, kiapo ni mbadala wa cheti cha kuzaliwa.Ikiwa mzazi hana cheti cha kuzaliwa, ila una kiapo chake ( affidavit ) je inawezekana ?
SawaaNdio, kiapo ni mbadala wa cheti cha kuzaliwa.
Uhamiaji yenyewe wanaotakiwa wawe na dawati Maalumu Kwa haya maombi na maelekezo ya kistaarabu yasiyo na kebehi Wala Rushwa, hii kazi kufanywa na watu wengine nje ni urasimu na yawezekana walio nazo ni wafanyakazi wa uhamiaji.Pia unatakiwa uambatanishe barua ya serikali ya mtaa au ya kazi. Hlf kuna barua ya ombi. Na hyo form ikishatoka kuna sehemu inatakiwa igongwe muhuri wa wakili.
YeahIkiwa mzazi hana cheti cha kuzaliwa, ila una kiapo chake ( affidavit ) je inawezekana ?
Vipi ukiweka cheti cha mzazi mmojaUtaratibu ni kujaza form mtandaoni na ku upload picha yako. Then unaprint hyo filled form then unalipia 20 elf. Baada ya hapo unapeleka hyo form ukiambatanisha na kopi ya nida ID au namba , cheti cha kuzaliwa, cheti cha mzazi...
Unapata interview kama ukipita then unalipa 130000 pale pale ndani.
Unapeleka risiti unaweka finger print na kupigwa picha then unasubiri pass.
Kuepuka usumbufu ukiwa tayari nitafute nkusaidie hatua kwa hatua
Kinatosha. Na utambulisho kutoka serikali zamitaaVipi ukiweka cheti cha mzazi mmoja
Inachukua muda gani hadi kupata kwa Dar?Kinatosha. Na utambulisho kutoka serikali zamitaa