Tar 29&30 ilikuwa ni mpango maalum wa kumpa kinyesi mtawala.???

Tar 29&30 ilikuwa ni mpango maalum wa kumpa kinyesi mtawala.???

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,090
Reaction score
4,060
Kitu cha kushangaza kabisa mkoa niliokuwepo hakukuwa na maandamo wala uharibifu wowote ule siku ya uchaguzi.! Lakin siku ya pili tena jioni ndio vurugu zinaanza kwa kasi ya ajabu ?? Hawa walikuwa wapi kuanza vurugu siku husika.???

Inaonekana ilikuwa mpango maalum wa kumtia doa kiongozi kwa makusudi na sijui yeye kama ndio alietoa amri kwamba watu wauliwe Kinyama kiasi kile

Swali fikirishi kwann zile gari Wa*jes* zilikuwa zikipita tu dakika moja mbele tu. Vijana wa hovyo wanaanza kuchoma sheli na kuaribu mali za watu??? Wale jamaa walikuwa wanatafuta nini huko juu katika uongozi.????

Na kwann polisi walikuwa wanaua watu bila hatia??

Note.
Vita sio nzuri hata kidogo kwa maana haichagui kabila wala dini
Na kingine tanzania ni maskin hatufikia kuuana kikatili kiasi hiki kisa madaraka

Madaraka ni ya mda mfupi na hata nguvu pia ni za muda mfupi

Kabla ya kufanyiana uovu tuangalie kwanza mwisho wake.

Watu na sare zao kabisa ambao wananchi wanawaamini lakin ndio mlikuwa mnawaambia waanza vurugu sijui mlikuwa mnapata maslah gani ?? Na boda boda wakishaambiwa na kwtk basi mnavimba kumbe mlikuwa mnawaingiza watu mkenge

Note 2
Utakachofanya ndio utakachofanyiwa hiii ni karma ya ajabu sana

Yetu macho.


Nina hasira sana moyo unavuja damu nafsi za watu zimedhulumiwa kwa ulafi wa vyeo na hela
 
Kama siye aliyetoa amri ya watu kupigwa risasi za moto basi ajisafishe kwa kuwawajibisha wafuatao. CDF, IGP,RPC wote katika mikoa waliouawa watu, aliyekuwa waziri wa mambo ya Ndani& Nje, aliyekuwa waziri wa wizara mama (TAMISEMI) na Wakuu wa mikoa wote katika mikoa yalipotokea mauaji, RSO & DSO wote katika mikoa na wilaya yalipotokea mauaji na jeshi la polisi lote.

Bila kumsahau Muliro, Abduli na Mafwele.

Kinyume na hapo tunatumia kanuni ile ile “Who demands silence is always guilty ”
 
Pumbavu kabisa yaani warabu waliletwa na wakenya kuua watu Tanzania?
 
Kitu cha kushangaza kabisa mkoa niliokuwepo hakukuwa na maandamo wala uharibifu wowote ule siku ya uchaguzi.! Lakin siku ya pili tena jioni ndio vurugu zinaanza kwa kasi ya ajabu ?? Hawa walikuwa wapi kuanza vurugu siku husika.???

Inaonekana ilikuwa mpango maalum wa kumtia doa kiongozi kwa makusudi na sijui yeye kama ndio alietoa amri kwamba watu wauliwe Kinyama kiasi kile

Swali fikirishi kwann zile gari Wa*jes* zilikuwa zikipita tu dakika moja mbele tu. Vijana wa hovyo wanaanza kuchoma sheli na kuaribu mali za watu??? Wale jamaa walikuwa wanatafuta nini huko juu katika uongozi.????

Na kwann polisi walikuwa wanaua watu bila hatia??

Note.
Vita sio nzuri hata kidogo kwa maana haichagui kabila wala dini
Na kingine tanzania ni maskin hatufikia kuuana kikatili kiasi hiki kisa madaraka

Madaraka ni ya mda mfupi na hata nguvu pia ni za muda mfupi

Kabla ya kufanyiana uovu tuangalie kwanza mwisho wake.

Watu na sare zao kabisa ambao wananchi wanawaamini lakin ndio mlikuwa mnawaambia waanza vurugu sijui mlikuwa mnapata maslah gani ?? Na boda boda wakishaambiwa na kwtk basi mnavimba kumbe mlikuwa mnawaingiza watu mkenge

Note 2
Utakachofanya ndio utakachofanyiwa hiii ni karma ya ajabu sana

Yetu macho.


Nina hasira sana moyo unavuja damu nafsi za watu zimedhulumiwa kwa ulafi wa vyeo na hela
Ogopa sana mtu anaeendekeza mali kuliko chochote kile. Pesa mwanaharamu.
 
Back
Top Bottom