kina mpoto wameingia hasara ya kujisafirisha na kulipia malazi na msosi wao ndani ya jiji la Arusha.hakupewa hata advance!
Kulikuwa na haja gani ya kutupa hii taarifa kama Polisi ndo wanaopaswa kutujuza?
Anaitwa nani huyo dada tapeli?
Jina kake nani? Ajira kwa vijana wapi? maisha bora kwa kila mtanzania wapi? ahadi hewa kisiasa haya ndiyo matokeo.
Kulikuwa na haja gani ya kutupa hii taarifa kama Polisi ndo wanaopaswa kutujuza?
wakuu hapo juu roho zenu zitakuwa kwaatu!Wewe nawe mbulula kweli. Mtu atoke aliko mpaka Arusha central police kuuliza jina.
Kama habari ni ya kweli c mtaje jina tu tatizo nini.
Ni mtoto wa kimasaiAtakuwa mchaga huyo