Tapeli awaingiza mjini Chief Mareale na Mrisho Mpoto

Kulikuwa na haja gani ya kutupa hii taarifa kama Polisi ndo wanaopaswa kutujuza?

Details nyingi zimetiwa kapuni kwa kuwa bado hali ni tete!tusiharibu ushahidi au tusiweke vitu vitakavyohatarisha maisha ya watu.

Hutaki Acha!!
 
Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia?
 
Mwanamke akiwa tapeli haipendezi, lakini simlaumu amepata fursa ameitumia
 
Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia?

kina mpoto wameingia hasara ya kujisafirisha na kulipia malazi na msosi wao ndani ya jiji la Arusha.hakupewa hata advance!
 
Back
Top Bottom