Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 May 24, 2014 Thread starter #21 TANMO said: Kulikuwa na haja gani ya kutupa hii taarifa kama Polisi ndo wanaopaswa kutujuza? Click to expand... Details nyingi zimetiwa kapuni kwa kuwa bado hali ni tete!tusiharibu ushahidi au tusiweke vitu vitakavyohatarisha maisha ya watu. Hutaki Acha!!
TANMO said: Kulikuwa na haja gani ya kutupa hii taarifa kama Polisi ndo wanaopaswa kutujuza? Click to expand... Details nyingi zimetiwa kapuni kwa kuwa bado hali ni tete!tusiharibu ushahidi au tusiweke vitu vitakavyohatarisha maisha ya watu. Hutaki Acha!!
T Truth Matters JF-Expert Member Apr 12, 2013 1,612 2,603 May 24, 2014 #22 Huyu ana kila sifa ya kufungua kanisa. Ana upako wa kutosha!
A Albosignathus JF-Expert Member Apr 26, 2013 4,886 1,036 May 24, 2014 #24 Ningefurahi sana angemwingiza mkenge rais ila sasa kawapiga walalahoi wenzake.
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 May 24, 2014 Thread starter #25 Albosignathus said: Ningefurahi sana angemwingiza mkenge rais ila sasa kawapiga walalahoi wenzake. Click to expand... Ilikuwa ni almanusura lakini pia inawezekana ilkuwa ni gia ya kuwaingia sponsors wakubwa zaidi.
Albosignathus said: Ningefurahi sana angemwingiza mkenge rais ila sasa kawapiga walalahoi wenzake. Click to expand... Ilikuwa ni almanusura lakini pia inawezekana ilkuwa ni gia ya kuwaingia sponsors wakubwa zaidi.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,672 68,637 May 24, 2014 #29 Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia?
Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia?
mabesela JF-Expert Member Mar 14, 2014 1,294 680 May 24, 2014 #30 Ananifaa huyu kuwa wife mana anatumia bongo sawasawa aisee
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 May 24, 2014 #32 Mwanamke akiwa tapeli haipendezi, lakini simlaumu amepata fursa ameitumia
S salasala JF-Expert Member Oct 17, 2010 223 54 May 24, 2014 #33 hyusuph said: Hizi dini nyingine majangaa Click to expand... Si kama ile inayohukumu kifo ukiamua kuihama.
hyusuph said: Hizi dini nyingine majangaa Click to expand... Si kama ile inayohukumu kifo ukiamua kuihama.
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 May 24, 2014 Thread starter #34 King Kong III said: Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia? Click to expand... kina mpoto wameingia hasara ya kujisafirisha na kulipia malazi na msosi wao ndani ya jiji la Arusha.hakupewa hata advance!
King Kong III said: Sasa wametapeliwa nini kina mpoto? Huyo dada amefaidika na nini? Kama hela amepewa na wazamini ya nini kukimbia? Click to expand... kina mpoto wameingia hasara ya kujisafirisha na kulipia malazi na msosi wao ndani ya jiji la Arusha.hakupewa hata advance!
LUPITUKO JF-Expert Member Sep 19, 2011 279 183 May 24, 2014 #36 Jackbauer said: Nenda polisi central Arusha for full details. Click to expand... Wewe nawe mbulula kweli. Mtu atoke aliko mpaka Arusha central police kuuliza jina. Kama habari ni ya kweli c mtaje jina tu tatizo nini.
Jackbauer said: Nenda polisi central Arusha for full details. Click to expand... Wewe nawe mbulula kweli. Mtu atoke aliko mpaka Arusha central police kuuliza jina. Kama habari ni ya kweli c mtaje jina tu tatizo nini.
M mandule Senior Member Jan 19, 2014 125 20 May 24, 2014 #37 umatemate said: tapeli huwa afungwi Click to expand... Kama hakuingia nao mikakataba yoyote hao akina Mrisho mtoto sijui! Lakini kama kuna mkataba atalipa tu anachodaiwa...
umatemate said: tapeli huwa afungwi Click to expand... Kama hakuingia nao mikakataba yoyote hao akina Mrisho mtoto sijui! Lakini kama kuna mkataba atalipa tu anachodaiwa...
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 May 24, 2014 Thread starter #38 LUPITUKO said: Wewe nawe mbulula kweli. Mtu atoke aliko mpaka Arusha central police kuuliza jina. Kama habari ni ya kweli c mtaje jina tu tatizo nini. Click to expand... Too femanine!!
LUPITUKO said: Wewe nawe mbulula kweli. Mtu atoke aliko mpaka Arusha central police kuuliza jina. Kama habari ni ya kweli c mtaje jina tu tatizo nini. Click to expand... Too femanine!!
Chivundu JF-Expert Member Dec 17, 2012 7,198 5,364 May 24, 2014 #39 Kweli mjini mipango! Mjomba kaingizwa mjini aisee.