mobakha
Senior Member
- Mar 7, 2014
- 100
- 21
Habari za leo ninatumai ni wazima wa afya na mnaendelea na jukumu la kujenga taifa letu. si mweledi sana wa kuandika ila leo nimekuja na hili lililonitokea.
Kiufupi ni kwamba mke wangu ameibiwa simu yake ya android nyumbani kwake mchana kweupe sitoeleza stori yote ila baada ya tapeli huyokufanikiwa kuiba hio simu anatumia namba zake nyengine kwa kuwapigia contacts za mke wangu zilizokuwemo kwenye simu yake na kujifanya kama yeye ndio mimi (mume) na kuanza kuwatapeli watu. baya zaid wengine amewapata kwa sababu hawanijui mimi na hhawajawasiliana kitambo na mke wangu.
Nilitaka jambo hili lipite hivi hivi ila tatizo bado anaendelea kuwapigia simu contacts zilizokuemo ndani ya simu na kuanza kuwalaghai. line zilizokuemo kwenye simu iliobiwa tayari tumesharenew. Je, tuchukue hatua gani na ipo namna yeyote ya kuweza kumjua huyu tapeli.
Kiufupi ni kwamba mke wangu ameibiwa simu yake ya android nyumbani kwake mchana kweupe sitoeleza stori yote ila baada ya tapeli huyokufanikiwa kuiba hio simu anatumia namba zake nyengine kwa kuwapigia contacts za mke wangu zilizokuwemo kwenye simu yake na kujifanya kama yeye ndio mimi (mume) na kuanza kuwatapeli watu. baya zaid wengine amewapata kwa sababu hawanijui mimi na hhawajawasiliana kitambo na mke wangu.
Nilitaka jambo hili lipite hivi hivi ila tatizo bado anaendelea kuwapigia simu contacts zilizokuemo ndani ya simu na kuanza kuwalaghai. line zilizokuemo kwenye simu iliobiwa tayari tumesharenew. Je, tuchukue hatua gani na ipo namna yeyote ya kuweza kumjua huyu tapeli.