EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,187
- 20,640
Halitokei jamaa angu,nilikuwa nakuzingua tun
Nipe pole Mkuu hilo lisinitokee
Halitokei jamaa angu,nilikuwa nakuzingua tun
Nipe pole Mkuu hilo lisinitokee
MIMI JAMAA WENGI ALIPOWAPIGA MZINGA WALIMPIGIA AKAWA HAPOKEI HAKUFANIKIWA KUTAPELI WENGI ZAIDI YA WATU WAWILI JUMLA 30KPole sana, mwis wake ilikuaje
soma vizuri mada yangu kwa sababu hizi si nokia za tochi ukasema mambo nirahisi rahisi tu. kwani uliambiwa anatumia line zile zile nilisema anatumia line yake. nina uwezo mpaka wakuiroot simu.Mtoa mada acha ujinga, simu ikipotea au kuibiwa jambo la kwanza na la haraka ni kublock laini zako ili zisitumike. Utaratibu wa kublock laini ni rahisi sana kwani inahitajika copy ya kitambulisho chako tu. Baada ya hapo ndo unatoa taarifa polisi ili kurenew laini yako...wakati mwingine kupigwa mnataka wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole hata mimi yamenikuta ila ni Fundi simu kanibadilishia Handset kanipa ya jamaa mwingine, simu yangu imeenda na contact zote, picha na mafaili.nimesema anatumia line yake anachotumia kwetu ni contacts tu, angekua anatumia line yetu ingekua kesi rahisi sana io
nahisi anza na fundi ukiona majibu yake hayaridhishi ndio uende polisiPole hata mimi yamenikuta ila ni Fundi simu kanibadilishia Handset kanipa ya jamaa mwingine, simu yangu imeenda na contact zote, picha na mafaili.
Leo kuna moja ya contact wangu kaniambia umebadili namba? sikumuelewa sasa naamini kuna kamchezo
sijui nianze na fundi simu au Polisi