Pale nakumbuka nilikuwa napita mwaka jana kama saa 4 usiku,wakati nina overtake lorry niko katikati lilitimka vumbi kutokea upande wa kushoto likaziba kioo chote nikawa sioni mbele,nilichofanya ni kutumia ujasiri wa kusonga mbele mpaka nikalipita,nilipopita tu lile vumbi likakata,kwakweli kuanzia pale ilibidi nipunguze speed kwani kuna wakati mpaka gari inakuwa kama inataka kutoka barabarani...Same kuna upepo mkali sana.
Gari iki over speed inahama njia. Ni juzi tu polisi Fulani, Mbise, alipata ajali hapo, na kuna matukio sana ya ajali.
Kama alama hamna itabidi iwekwe, na ikiwekwa iheshimiwe na madereva na wananchi wasiiondoe.
Same kuna upepo mkali sana.
Gari iki over speed inahama njia. Ni juzi tu polisi Fulani, Mbise, alipata ajali hapo, na kuna matukio sana ya ajali.
Kama alama hamna itabidi iwekwe, na ikiwekwa iheshimiwe na madereva na wananchi wasiiondoe.
Pole sana. Same ni pabaya kweli. Ila huwezi kujua kwa haraka maana barabara ni nzuri na inavutia.Pale nakumbuka nilikuwa napita mwaka jana kama saa 4 usiku,wakati nina overtake lorry niko katikati lilitimka vumbi kutokea upande wa kushota likaziba kioo chote nikawa sioni mbele,nilichofanya ni kutumia ujasiri wa kusonga mbele mpaka nikalipita,nilipopita tu lile vumbi likakata,kwakweli kuanzia pale ilibidi nipunguze speed kwani kuna wakati mpaka gari inakuwa kama inataka kutoka barabarani...
Raha ya milele uwape e Bwana na Mwanga wa Milele uwamgaazie wapumzike kwa amani.Hizi lugha za jangwani zinatamalaki sana siku hizi sheria itungwe kuzidhibit.
Rest in Peace sister and driver
Na raha ya milele uwape.Mwanga wa milele uwaangazie ee Bwana..
Hapo SasaSister Octavia utakwenda kumwambia nini muumba wako kwa kumkiuka agizo lake alilolitoa kwa mwanaume Adam na mwanamke Eva kuwa enendeni mkaongezeke muijaze dunia?
Hizi lugha za jangwani zinatamalaki sana siku hizi sheria itungwe kuzidhibit.
Rest in Peace sister and driver
kiswahili ni kibantu. full stopHa ha ha... Ndg Mpendwa!! Mr.John Stefan! Bingwa wetu hapa JF!! Sijui nikuite jina lipi ? Ndiyo litakufaa !!
FYI.. Lugha hii ya Jangwani ndiyo inayotunza na kuihimili Matamshi unayoandika humu!! Na ndiyo imerahisisha wewe kutamka maneno yakaeleweka.. Kwa ziada Lugha ya kiswaili imezaliwa na kulelewa kwa mchango mkubwa wa Lugha Mama ambayo ni KIARABU..!! Ya huko Jangwani unapo kusudia..
Sasa wengi tutafurahi uende ukatunge hiyo "Sheria ya kudhibiti" japo hii Mali NI msemo wa Jangwani!!
Tena uanze na kulifuta jina la Dar-Es-Salaam na majina ya mikoa 17 yenye kutamalaki Uarabu!!
Samahani wandugu wengine..
Jifunze kujenga na siyo kubomoa Jon Stephano
wameitwa na mwenyezi Mungu.
Umepata hasira ?? Sawa NI KIBANTU !!kiswahili ni kibantu. full stop
Hilo fundisho siyo sahihi hakuna maswali yoyote ukifa utambuzi, fahamu na uelewa wako unakoma huwezi kujua lolote mpk wakati wa ufufuo utakapofikaHiyo lugha ndio utakayoulizwa maswali kaburini siku utakapozikwa. Kule hakuna cha kizungu/kiswahili wala nini. hivyo lugha itakayotumika ni allughatil-arabiyyah/lugha ya kiarabu.
Siku hiyo kutakuwa na kilio na kusaga meno.hakuna cha john wala debora kuja kukusaidia.