Tanzia: Sister Octavia, Mama Mkuu wa Shirika, Kifungilo na dereva Aminiel wafariki dunia kwenye ajali Same

Wapumzike Kwa amani.Pole Kwa familia zao.Mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu wanachopitia.
 
Hizi lugha za jangwani zinatamalaki sana siku sheria itungwe kuzidhibit.

Rest in Peace sister and driver
Ha ha ha... Ndg Mpendwa!! Mr.John Stefan! Bingwa wetu hapa JF!! Sijui nikuite jina lipi ? Ndiyo litakufaa !!

FYI.. Lugha hii ya Jangwani ndiyo inayotunza na kuihimili Matamshi unayoandika humu!! Na ndiyo imerahisisha wewe kutamka maneno yakaeleweka.. Kwa ziada Lugha ya kiswaili imezaliwa na kulelewa kwa mchango mkubwa wa Lugha Mama ambayo ni KIARABU..!! Ya huko Jangwani unapo kusudia..

Sasa wengi tutafurahi uende ukatunge hiyo "Sheria ya kudhibiti" japo hii Mali NI msemo wa Jangwani!!
Tena uanze na kulifuta jina la Dar-Es-Salaam na majina ya mikoa 17 yenye kutamalaki Uarabu!!

Samahani wandugu wengine..
Jifunze kujenga na siyo kubomoa Jon Stephano
 
Halafu pale Same si pamenyooka sana!au ni upepo mkali na mavumbi,maana ule upepo wa maeneo yale sio wa kawaida,Pole kwa wafiwa..
Pabaya sana pale pana mkondo wa kifo... Pameondoka na roho nyingi
 
Halafu pale Same si pamenyooka sana!au ni upepo mkali na mavumbi,maana ule upepo wa maeneo yale sio wa kawaida,Pole kwa wafiwa..

Same kuna upepo mkali sana.

Gari iki over speed inahama njia. Ni juzi tu polisi Fulani, Mbise, alipata ajali hapo, na kuna matukio sana ya ajali.

Kama alama hamna itabidi iwekwe, na ikiwekwa iheshimiwe na madereva na wananchi wasiiondoe.
 
Back
Top Bottom