TANZIA: Sir. George Kahama afariki dunia

Chuo kikuu cha Ushirika ana jengo limepewa Jina Lake .Lecture Hall ipo Karibu kabisa na Hostel aliyeyokua akiishi aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda au Daudi Albert Bashite.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM! Is it confirmed au is just an assumption?...
 
Nasikia kwa pamoja waliukutaa msaada wa Misri kujenga chuo kikuu cha kwanza cha kiislam E.Africa na kuyaondoa makao makuu ya umoja wa kiislam E.Africa kutoka Tz to Kenya.
 
Ustaadh Mohamed Saidi, njoo utupe darasa juu ya huyu bwana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…