Tanzia: Shekh Nassor Bachu amefariki!

Tanzia: Shekh Nassor Bachu amefariki!

Status
Not open for further replies.
Cjaleta utani huo ndo wasifu wa marehemu nenda kwenye fb page ya uamusho ili upate ufafanuzi zaidi,kwani zambi kuwa na wake wa3 na watoto 15???we ndo unaleta utani!!!

yes one wife 5 kids.simple mats
 
Hakika Sisi ni wa Mwenyezi Mungu na Kwake Tutarejea,Mola amuweke mahali pema peponi amein!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Inna Lillah Wainna Ilayhi Rajuun!! (Hakika sote ni wamwenyezi Mungu na kwake tutarejea)
 
INNALILLAH WAINNAA ILAIH RAJIUUN.
Mungu akulipe kwa kazi yako kubwa uloifanya shekh.
Tumekupenda sana ila mungu amekupenda zaidi.
 
Wasifu wa marehemu ameacha wake watatu na watoto15, Mungu amrehemu!!

Naona hapa watu ni wengi binaadamu ni wachache,ni bora huyo ambae anajulikana wazi wazi kuwa ana wake watatu kuliko ww mwenye vimada uswahilini wasiokuwa na idadi,ati mwenyewe wafanya siri.
 
as usual to muslims
Kwa mwenye uwezo wa kuwatunza kwa haki wake zake hao...ni bora ya wao kujidhihirisha hadharani kuliko wale wanaojifanya wanaoa 1 kumbe wana 11 mtaani... R.I. P shekhe
 
Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun!mazishi kuwa ya kitaifa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom