Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun! (hakika kwake tumetoka na kwake tutarejea!) na kila nafsi itaonja mauti!
Kwa taarifa za kuthibitika hii leo zinaeleza kuwa Sheikh maarufu wa Zanzibar Shekh Nassor Bachu amefariki hii leo.!
Sheikh alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu na hivi karibuni alipelekwa India kwa matibabu lakini hali yake haikuwa na afueni yoyote.
MOLA AMLAZE PEMA PEPONI. AAMIN
Written by http://mzalendo.net/habari/shk-nassor-bachu-amefariki.html
---
UPDATE - TAARIFA MPYA:
Februari 14 - 2014 Umati mkubwa ahudhuria maziko ya Mwanazuoni Sheikh Bachoo
Kwa taarifa za kuthibitika hii leo zinaeleza kuwa Sheikh maarufu wa Zanzibar Shekh Nassor Bachu amefariki hii leo.!
Sheikh alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu na hivi karibuni alipelekwa India kwa matibabu lakini hali yake haikuwa na afueni yoyote.
MOLA AMLAZE PEMA PEPONI. AAMIN
Written by http://mzalendo.net/habari/shk-nassor-bachu-amefariki.html
---
UPDATE - TAARIFA MPYA:
Februari 14 - 2014 Umati mkubwa ahudhuria maziko ya Mwanazuoni Sheikh Bachoo