TANZIA: Profesa Jahazi amefariki dunia

TANZIA: Profesa Jahazi amefariki dunia

SWAHILIYA

Member
Joined
May 13, 2017
Posts
55
Reaction score
116
Inna Lillahi wa inna ilayhi raajiuun,..

Prof. Jahazi amefariki Dunia muda huu.

Allah amsamehe, atie Nuru ktk kaburi lake na ampe kauli thaabit ndugu yetu [Allahummagh'firllahu].

Maziko ya Prof. Jahazi leo. Ata Swaliwa Masjid Shadhily na kuzikwa Kisutu baada ya Asir

Professa jahazi alikuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha afya Muhimbili(Muhas) upande wa Microbiology.
 
Inna Lillahi wa inna ilayhi raajiuun,..

Prof. Jahazi amefariki Dunia muda huu.

Allah amsamehe, atie Nuru ktk kaburi lake na ampe kauli thaabit ndugu yetu [Allahummagh'firllahu].

Maziko ya Prof. Jahazi leo. Ata Swaliwa Masjid Shadhily na kuzikwa Kisutu baada ya Asir
Weka hata wasifu hata kidogo, wengine hatumfahamu mkuu, na picha pia.
 
Back
Top Bottom