Inna Lillahi wa inna ilayhi raajiuun,..
Prof. Jahazi amefariki Dunia muda huu.
Allah amsamehe, atie Nuru ktk kaburi lake na ampe kauli thaabit ndugu yetu [Allahummagh'firllahu].
Maziko ya Prof. Jahazi leo. Ata Swaliwa Masjid Shadhily na kuzikwa Kisutu baada ya Asir
Professa jahazi alikuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha afya Muhimbili(Muhas) upande wa Microbiology.
Prof. Jahazi amefariki Dunia muda huu.
Allah amsamehe, atie Nuru ktk kaburi lake na ampe kauli thaabit ndugu yetu [Allahummagh'firllahu].
Maziko ya Prof. Jahazi leo. Ata Swaliwa Masjid Shadhily na kuzikwa Kisutu baada ya Asir
Professa jahazi alikuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha afya Muhimbili(Muhas) upande wa Microbiology.