NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Ndugu wanajf,msishangae kuona nmeandika kwenye jukwa la siasa,mim namin kwenye huzuni n lazima siasa na vingnevo 2vweje pemben,muigzaj wa kaole sana group anazikwa sasa kigogo-DAR ES SALAAM
kama alikuwa mwaminifu kwa deen yake saivi anaenjoy na mabikira tu.
maskin mzee wa watu,cjui kama baba riz alipata taarifa za msiba wako.mchango wako kwny sanaa ni mkubwa kuliko huyo kanumba lakin nani aliutambua?r.i.p mzee..