Utivu
Senior Member
- Mar 23, 2011
- 106
- 78
Hapana, taarifa yako juu ya kufariki akiwa Sinza si za kweli. Mzee Beda Jonathan Amuli amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Alikua anaishi Mbezi mwisho hapa stend mpya, ng'ambo ya Barabara pale kwenye fremu za maduka, ndipo kwa Bedda Amury, mara nyingi alikua anakaa pale anapata kilaji mzee wawatu taratiiibu. Ila amefia huko sinza kwenye nyumba yake nyingine.