NDI NDI NDI
Senior Member
- May 30, 2016
- 123
- 94
Kuna kitu kizuri ulitaka kuandika mkuu,ila kutokana haraka zako umeharibu maana...edit urudi tena.Kwa Sisis wa Zamzni tunamfahamu saana kwani ndio watu/ wasomi wa mwanzo waliopractice ki-private. iLA NATUARLLY ALIKUWA MTU HUMBLE SANA ASIYEPENDAA MEDIA NADHANI NDIO MAANA alikuwa hajulikani saaana wengine tunaijua moaka nyimba yake Mororgoror Road- maeneo ya Kibaha.
All in all ni vema historia engefahamika ( kwa kasi hii) kwa muda mrufu. Kwa tunaomfahamu likitazwa tu Soko La Kariakoo is equal to Beda Amuli ( R.I.P). Na kumbe kuna mengi aliyoyafanya pamoja na Kilimanjaro hotel labda tu nbahati mbya alikuwa chini ya Kampuni. Aidha alihamasisha watu wa kwao wasome na kuanzasha Trust Fund.