argumentin628
New Member
- Aug 28, 2019
- 3
- 0
Mm naamin hapa dar kuna mahal alikuwa anaishi ...mleta mada tuambie alikuwa anaishi wapi, maeneo gan hapa Dar? Tuambie username hapa JF,kwa nn rambi rambi kwa baba na si kwa mke na watoto 2,kwa nn namba ya halotel tupekeake. Kwa nn hata picha ya marehm tu hakuna?
Tushawish bas ....Binafc nmekuona ni TAPELI TU. nitaomba msamaha na kutengua kauli utakapo nipa majib na viambatanish sahh.
Tushawish bas ....Binafc nmekuona ni TAPELI TU. nitaomba msamaha na kutengua kauli utakapo nipa majib na viambatanish sahh.