Tanzia: MwanaJF mwenzetu afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa

Status
Not open for further replies.

malela.nc

JF-Expert Member
Nov 24, 2013
246
337
Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu. Kwa masikitiko naleta kwenu taarifa za msiba wa member mwenzetu wa Jamii Forums, Ndugu Onesmo Simon aliekuwa akipatiwa matibabu hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili.

Ndugu Onesmo alikuwa akisumbuliwa na tatizo la Homa ya Ini tangu mwezi wa pili mwaka huu.

Kwa kipindi chote hicho marehemu alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Muhimbili, ila hali yake ilizidi kudhoofu siku baada ya siku hadi mauti ilipomkuta usiku wa saa 9 kuamkia leo.

Marehemu ameacha mke na watoto wawili(2).

Msiba utakuwa nyumbani kwa wazazi wake Korogwe. Kutokana na gharama za hapa Hospitali na kusafirisha mwili mpaka kijijini kwao Korongwe.

Hivyo unaombwa ukiwa kama member wa Jukwaa hili unaweza tuma Salamu za Pole na rambirambi kwa Baba Mzazi, Halotel 062233**** Simon Philipo

Mbele yake, nyuma yetu.
 
Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu. Kwa masikitiko naleta kwenu taarifa za msiba wa member mwenzetu wa Jamii Forum Ndugu Onesmo Simon aliekuwa akipatiwa matibabu hospitali kuu ya taifa Muhimbili.
Ndugu Onesmo alikua akisumbuliwa na tatizo la Homa ya Ini tangu mwezi wa pili mwaka huu.
Kwa kipindi chote hicho marehemu alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya muhimbili, ila hali yake ilizidi kudhoofu siku baada ya siku hadi mauti ilipomkuta usiku wa saa 9 kuamkia leo.
Marehemu ameacha mke na watoto wawili(2).
Msiba utakuwa nyumbani kwa wazazi wake Korogwe. Kutokana na gharama za hapa hospitali na kusafirisha mwili mpaka kijijini kwao Korongwe.

Hivyo unaombwa ukiwa kama member wa Jukwaa hili unaweza tuma Salamu za Pole na Rambi Rambi kwa Baba Mzazi,
Halotel 0622330713 Simon Philipo




Mbele yake, nyuma yetu.
Acha utapeli.
 
Binafsi nadhani kwamba hayo maelezo pekee hayajitoshelezi sisi member wengine kufanya mchango, bali maelezo haya yanatosha tu kutowa pole kwa wafiwa na R.i.P kwa marehemu.

Lakini ikiwa kweli unania tuchangie tukiwa tumekunjua roho, ebu please tuwekee viambatanishi na uthibitisho kwamba marehemu kweli alikuwa member mwenzetu, na pia tuwekee vithibitisho vinayo weza vikatuaminisha kwamba efariki kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom