Wakuu, huyu ni member mwenzetu hapa JF amefiwa na mtoto wake leo saa 10 jioni wakiwa njiani kumpelekwa hospitali.
Chanzo: Mimi mwenyewe niko eneo la tukio.
Wakuu kesho nitaweka hapa siku ya maziko.
Maziko yatakuwa Leo Marangu.
Hii ni kwa wale watakaoguswa na msiba uliompata member mwenzetu. 0686979746.