BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,989
- 32,647
Poleni sana Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba,Mungu ampumzishe marehemu kwa amani Na mtoto Mungu amkuze Amen.
Rafiki yangu kipenzi babu kipara wa vingunguti anadikitika kutangaza kifo cha mke wake kipenzi aliyefariki juzi hospital ya muhimbili baada ya kufanyiwa operation ya uzazi, shemeji katuachia mtoto mchanga tumpeni moyo kaka yetu
Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.......
R.i.p shemeji yetuRafiki yangu kipenzi babu kipara wa vingunguti anadikitika kutangaza kifo cha mke wake kipenzi aliyefariki juzi hospital ya muhimbili baada ya kufanyiwa operation ya uzazi, shemeji katuachia mtoto mchanga tumpeni moyo kaka yetu
Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.......
R.I.P,MUNGU awe nanyi wakati wote na awape faraja kwa kuondokewa na kipenzi chenu.Rafiki yangu kipenzi babu kipara wa vingunguti anadikitika kutangaza kifo cha mke wake kipenzi aliyefariki juzi hospital ya muhimbili baada ya kufanyiwa operation ya uzazi, shemeji katuachia mtoto mchanga tumpeni moyo kaka yetu
Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.......
Huyu mama aliyejifungua akafariki ni yule mtu wa iringa? Nawajua ndugu zake alikuwa na mtoto mkubwa kabisa kabla ya huyo, mtoto mchanga anapelekwa msimbazi kulelewaRafiki yangu kipenzi babu kipara wa vingunguti anadikitika kutangaza kifo cha mke wake kipenzi aliyefariki juzi hospital ya muhimbili baada ya kufanyiwa operation ya uzazi, shemeji katuachia mtoto mchanga tumpeni moyo kaka yetu
Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.......
Sikuwaona, wewe umewaona?Wale waliondika R.I.P hukuwaona?...
Poleni saanaRafiki yangu kipenzi babu kipara wa vingunguti anadikitika kutangaza kifo cha mke wake kipenzi aliyefariki juzi hospital ya muhimbili baada ya kufanyiwa operation ya uzazi, shemeji katuachia mtoto mchanga tumpeni moyo kaka yetu
Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.......