Mbunge wa zzamani wa Tabora Mjini, Siraju Kaboyonga amefariki Dunia usiku huu jijini Dar es Salaam. Kaboyonga ambaye ni Mwenyekiti WA SSRA anatarajiwa kuzikwa Dar Alhamis katika makaburi ya Kisutu. Inna Lilah WA Inna Ilaihu Rajiun
Kama alikuwa gamba na anasimamia SSRA kwa kufanya yale maamuzi madudu na AFE TU HAKUNA CHA R.I.P