Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Mwendazake huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 92 na kupumzishwa Kijiji cha Mululu kilichopo Kaunti ya Vihiga
Mke wa Waziri wa zamani nchini Kenya Moses Mudavadi
Mama Mzazi wa mwanasiasa maarufu sana nchini Kenya na Kiongozi wa Chama cha ANC Musalia Mudavadi na wenzake
Bwana ametoa
Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
Mke wa Waziri wa zamani nchini Kenya Moses Mudavadi
Mama Mzazi wa mwanasiasa maarufu sana nchini Kenya na Kiongozi wa Chama cha ANC Musalia Mudavadi na wenzake
Bwana ametoa
Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe