Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,007
- 8,936
Mkuu haimaanishi kama kila Muslim ni gaidi, tuna ndugu na marafiki waislam tunaishi nao vizuri na kwa amani,
Tusifikie kuchukiana kiasi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusifikie kuchukiana kiasi hiki.
Magaidi mnapenda sana kulia lia ili hali ninyi ndo mlimvuta simba sharubu,tulienu dawa iwapenye ,msitafute huruma ya watu,shubhamiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app