Tanzia: Joel Mkude aaga dunia

Tanzia: Joel Mkude aaga dunia

kizeze

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
345
Reaction score
360
Aliyekuwa Msajili wa Klabu na vyama vya michezo wilaya ya Ilala Ndg.Joel Mkude(Zeno) amefariki muda si mrefu...
Source mimi ni mmoja wa ndugu wa marehemu na maiti ipo Mochwari,msiba upo nyumbani kwake Ilala
 
RIP joel Mkude. Tutakukumbuka kwa utendaji na uadilifu wako katika kuendeleza michezo wilaya ya ilala
 
mazishi nitawajulisha kesho,kwani vikao vya wanandugu vinaendelea
 
REQUIEM: Pumziko la Milele umpe ee Bwana, Na mwanga wa Milele umwaangazie, apumzike kwa amani...
Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, Wapumzike kwa amani. Amina
 
R.I.P Mkude poleni wafiwa.
Aliyekuwa Msajili wa Klabu na vyama vya michezo wilaya ya Ilala Ndg.Joel Mkude(Zeno) amefariki muda si mrefu...
Source mimi ni mmoja wa ndugu wa marehemu na maiti ipo Mochwari,msiba upo nyumbani kwake Ilala
 
Poleni sana kwa msiba.Mungu awape nguvu katika hiki kipindi kigumu.
 
RIP mzee Mkude

Je ana uhusiano na na jonas mkude au ni majina tu..
 
Mwili wa marehemu utazikwa kesho saa kumi jioni katika makaburi ya Chang'ombe
 
Back
Top Bottom