Pole sana Jaji Mwaipopo,Kazi ya Mungu haina makosa,Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani sio nyingi,bibilia inasaema hapa Duniani tuna Muda mfupi wa kuishi na tunapita tu Makao yetu ni Mbinguni kwa Baba Yetu aliye Tuumba sisi sote,Bibilia inasema Msifadhaike mioyoni mwenu mnamwamini Mungu niaminini na Mimi ,Nyumbani mwa baba yangu Kuna Makao Mengi la sivyo ningeliwambia,tulikuja bila kitu ndugu yangu na tutaondoka bila kitu,Maisha ya Mwanadamu ni sawasawa na Kuku anaye jiokotea chakula bila kujua kuwa kuna mgeni kaja na anatakiwa kuchinjwa ni sawasawa na foleni ya kuchota maji kwamba kila moja atasogea na kuchota maji huwezi kukwepa (is the Matter of days and time) kila mmoja wetu anasiku yake ya kuondoka na saa yake
Mungu awatie nguvu wanafamilia katika kipindi hiki kigumu
Amen.
gwesepo,